Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka
Showing posts with label NURUTHELIGHT NOTES. Show all posts
Showing posts with label NURUTHELIGHT NOTES. Show all posts

Thursday, September 15, 2016

IT STARTS WITH A DREAM AND THEN A SIMPLE ACTION THAT LATER TURNS INTO A REALITY,TBT OF MY JOURNEY WITH THE KA-PLACE YOU BETTA RESPECT MY HUSTLE!!!
















Leo naongelea kuhusu Kuwa na Nia na Njia bali unakuwa na Uwoga,,
Nimegundua watu wengi sana wana uwoga wakuinvest au kuanzisha biashara,,
Kiukweli sio kila mtu anaweza kuwa mjasiriamali na ndiomaana kuna watu watakuwa waajiriwa na hakuna ubaya wowote kuwa muajiriwa as long as uko happy,,
Kuna raha yake pia kuwa muajiriwa maana the only thing utakuwa na wasiwasi nao ni kufanya kile ulichoajiriwa meaning kazi yako na mengine yote kumuachia bosi wako,,
Kuwa boss haina raha tuu bali kuna responsibility that comes with it na sio kila mtu anaweza,,
Nikirudi kwenye SWALA la Uwoga kuna watu wanatamani lakini hawathubutu,,
kuna wenye uwezo na elimu ila ni wavivu na hawataki majukumu,,
kuna wenye means lakini uwoga umewatala au hawana support kutoka kwa mume,familia au jamii maana kuna sehemu msidhani kuwa mjasiriamali ni kitu positive maana kuna watu bado wanataka mwanamke awe tegemezi na sio wakujitegemea so humpa vikwazo ili asijiendeleze,,
Na pia kuna wanawake wenye Waume Zao wanaotaka wajishughulishe ila wamepata wanawake wasiotaka hilo,,
Kuwa muoga its natural ila jaribu kutoupa uwoga nafasi ya kutawala ili iwe kikwazo wewe kuthubutu
Na hii mentality ya mtu lazima uwe tajiri kuanzisha kitu itoweni kabisa akilini mwenu,,
Matajiri wengi someni historia zao walianza na kitu kidogo na kuja kuwa na Empire baadae,,
Jaribu kuwa na watu ambae mnashare ndoto zinazolingana maana A looser hawezi kutaka wewe ufanikiwe kama yeye alifeli,,
Wako watakaokuja na kutaka kukuonyesha njia sahihi na wako pia watakaotaka kukukata moyo,,
Wapo watakao kuunga mkono ukianza biashara yako na wako ambao watakukimbia,,
Utapata marafiki wapya wenye nyuso za wateja wako na hata kuwa na familia ambayo hukutarajia,,
Utapitia mengi ila kumbuka kuwa na subra,kuwa jasiri,kuwa mvumilivu na mkarimu na chochote kuliko vyote kutobagua MTEJA kwani MTEJA NI MFALME,Nimemaliza.com!!

Sunday, July 31, 2016

SOMETIMES YOU JUST HAVE TO FOLLOW YOUR HEART,LISTEN TO IT AND GO WITH YOUR GUT!!!

UKIKUBALI KUMSKILIZA MUONGO WAKATI UNAJUA NI MUONGO BASI MUONGO SI WAKULAUMIWA,,
UKIKUBALI KUWA MJINGA KWENYE KITU AMBACHO UNAJUA UKWELI WAKE BASI MUONGO SI WAKULAUMIWA,,
UKIKUBALI KUUBEBA MZIGO WA MUONGO UKIFIKIRI KUWA UNAMSTIRI BASI MUONGO HAWEZI LAUMIWA SIKU UKWELI UKIJULIKANA,,
UKIKUBALI HAYO YOTE HAPO JUU NA KUONA WEWE MSAIDIZI BASI MJINGA ATAKUWA WEWE NA SIO YULE MSEMA UWONGO,,
KUMBUKA KUWA HUWEZI MUONEA HURUMA MTU AMBAE HAJIONEI HURUMA,,
KUMBUKA KUWA KUNA AINA YA WATU WAO HUPENDA TU KULAUMU NA HAWAJITIZAMAGI VITENDO VYAO AU UWONGO WAO KUWA CHANZO MAISHANI MWAO AU WAO KUTOKUENDELEA KIMAISHA,,
KUMBUKA KUWA MUONGO ATABAKI KUWA MUONGO NA ANAYETAKIWA KUBADILIKA NI WEWE NA SIO YULE ALOKUWA HAJUI UKWELI,,
KUMBUKA PIA WENGINE HAWAJIJUI HATA KAMA NI WAONGO KWANI UWONGO PIA NI UGONJWA NA SIO ULEMAVU,,
KUMBUKA PIA AT TIMES TUNAPENDA KUSKIA KILE KINACHOTURDHIA KWA MDA HUO SO HATA UKISEVIWA UONGO KWENYE SAHANI BASI HUKUBALI,,
KUMBUKA KUWA UWONGO ALWAYS UTABAKI KUWA UWONGO NA KUWA UKWELI CAN NEVER BE EDITED CHA MSINGI TU NI JIPE MDA NA UKWELI UTAUJUA NA UKIUJUA FANYA MAAMUZI SAHIHI,NIMEMALIZA.COM!!