Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka
Showing posts with label MOSSE SAKAR QUOTES. Show all posts
Showing posts with label MOSSE SAKAR QUOTES. Show all posts

Thursday, April 23, 2015

NGOMA DROOO HAHAHAHAHAHHAHAH!!!



Umeshawahi kujiuliza?
Hiyo Internet ya Ofisini unavyoikomoa, umefungua blogs zote kwa mpigo, YouTube, Skype, Twitter, Facebook na Unadownload Videos! Wakati boss wako siku nzima amefungua emails tu.
Basi ndio hivyo hivyo housegirl/Houseboy wako ulomuacha home naye kashika Remote zote za DSTV, Deki, TV na StarTimes, Kawasha feni kaisogelea, nje kuna taa zinawaka, anampasia nguo Boifrendi wake muuza mkaa, anakunywa maji yako ya Kilimanjaro afu anarudishia ya bombani, maziwa anatumia anaongeza maji, na kama hujafunga chumba chako, ujue sasa hivi amejilaza kwenye kitanda chako na anajaribisha nguo zako.
Yes we si una fujo za mjini uko online, sasa na wenzio wana fujo za kijijini off-line home kwako.
Ngoma Droo kudadeki BY MOSSE SAKAR!!

Saturday, October 18, 2014

FROM MOSSE SAKAR!!!


AHSANTE MOSSE SAKAR MAANA KUNA WANAWAKE WAMEKAA WANAKWAMBIA OH YEYE SI NDIO KAOWA MIMI NIKO SINGLE AS IF WEWE HUJUI KUSEMA NO SO UNAMSINGIZIA MWANAUME OR EVEN MWANAMKE WHAT HAPPENED TO PERSONAL RESPONSIBILITY?,,
KUNA WATU HAMTOENDELEA KIMAISHA SIMPLY BECAUSE MKE WA MTU AU MUME WA MTU KAKUKALIA NA KUKUOMBEA KWA MUNGU MABAYA AND CAN YOU BLAME THEM???
UNASHANGAA MBONA NAPATWA NA MAJANGA KUMBEE UNAKULA KITU AMBACHO HAKIKUWA HAKI YAKO TO BEGIN WITH AND FOR WHAT,HELA??
KUNA WENGINE MPAKA JEURI YA KUMPIGIA SIMU MKE WA MTU NA KUMTUKANA JUU OOH HUKUWEZA NDIO MAANA KAJA KWANGU,,OH REALLY!
DUNIA INAZUNGUKA SO KUMBUKA ANGETAKA KUWA NA WEWE ANGEMALIZANA KWANZA NA MKEWE O MUMEWE AND THEN AWE NA WEWE KIHALALI,,
MWIZI NI MWIZI TUU HATA AVALISHWE SUTI AU AITWE MKURUGENZI BADO NI MWIZI TUU,
CHA MSINGI MUOMBE MUNGU AKUPE WAKO ATOKUJALI,KUTHAMINI,KUKUPENDAKWENYE SHIDA NA RAHA,NIMEMALIZA.COM!!




Saturday, May 31, 2014

MBILI KUTOKA KWA MOSSE SAKAR!!!!



Ukitaka ufike juu katika maisha lazima ujifunze maisha ya walio juu, wanafanya nini, wanawaza nini, wanakaa wapi, wanakula wapi, wanaongea na akina nani, wanaongeaje, wanakutana wapi, kwa nini, wanapanga nini, wanapanga na nani nk. Huwezi kutaka kuonana na CEOs wakati mchana kutwa unashinda manzese uwanja wa fisi na usiku unakesha Kamanyora baa, wakati ukishinda Serena mchana unaweza utagongana na Kikwete anatoka kwenye mkutano au ukienda Yatch club usiku ukapata business card ya CEO wa Twiga cement





Wanaosubiri kushangilia kuanguka kwako ni wengi kuliko wanaosubiri kushangilia kunyanyuka kwako, ili unyanyuke kwenye maisha yako usisikilize kelele zitokazo kwa mashabiki wako, sikiliza kelele zitokazo moyoni mwako