Genuine Nordic Vodka

Showing posts with label JANUARY MAKAMBA. Show all posts
Showing posts with label JANUARY MAKAMBA. Show all posts
Thursday, June 18, 2015
Monday, June 15, 2015
Sunday, June 7, 2015
WORDS FROM ZITTO KABWE TO JANUARY MAKAMBA,TANZANIA MPYA!!!
January Y. Makamba ndiye mgombea wa CCM aliyejieleza kwa ufasaha zaidi kuliko wote. 'content' kawazidi wenzake wote. Hata hivyo ameshindwa kabisa kutamka Miiko ya Viongozi. Bila Miiko yote aliyoyataja hayatafanyika maana ufisadi utatamalaki. Unaweza kuondoa rushwa kwa sheria. Lakini huwezi kuondoa ufisadi bila Miiko ya Viongozi. Sijui kwanini Kijana mwenzangu kaona aibu japo kutaja neno Miiko. Uchaguzi wa mwaka huu umeegemezwa kwenye kurudi kwenye Misingi iliyoasisi Taifa.
Nimeridhika sana na content na context. Sikubaliani na mwono. January Makamba anaiona Tanzania ya kibepari. Nadhani inabidi kufumua uchumi wa kibepari na kujenga uchumi wa kijamaa. I would love to debate him on the kind of the nation we shall rebuild. Kila la kheri rafiki yangu.
images;millardayo,facebook
Saturday, June 6, 2015
Subscribe to:
Posts (Atom)