HALAFU ANAVYOPENDAGA KUONGELEA YA WENZAKE WAKATI KWAKO BADO HUJAPAREKEBISHA MUNGU HUYO ANAKUUMBUA MCHANA KWEUPE,Jaribu kubadilika on that.
NAY KWANINI MLIKUBALIANA KUMFICHA MTOTO TAKRIBAN MIAKA 5,,
FEY KWANINI LEO UNALIA KAMA ULIKUBALIANA NAE MUMFICHE MTOTO AKIKAA KWENYE MEDIA NA SOCIAL MEDIA AKITAMKA NINA WATOTO 3TU,,
MIMBA HUFICHWA LAKIN MTOTO HIYO SAHAUNI..
Pale unapojibu lazima uwe na uhakika excuse me but you had five years,miaka mitano kuweza kufanya A DNA test kujua kama kweli au laa lakin its because unajua ni wako hapo umeongea tu mshkaji wangu ila kumkana ulishindwa kwani nafsi ilikusuta.
IT is just a sad sad situation I hope mtakaa na kuyamaliza kwa ajili ya Mtoto wenu.
Halafu kwanini wanaume hupenda kupiga wanawake kwa kudai haki ya mtoto,Dah!
Mbona wakati unambembeleza akuvulie chupi hukuinua mkono?
Kiukweli I loose respect huwa simuheshim mtu yoyote yule anayeamua kumtekeleza mtoto awe mwanamke au mwanaume ni kitu ambacho sio fair kabisa kwa Malaika mloamua kuleta duniani kwani mtoto haombi Bali huzaliwa.
IT is never too late to make it right for the child so I hope mtayamaliza kistaarabu.
