MADEE..,
AMPLIFAYA June14 #1 DOGO JANJA: mpaka kweli nimefikia kuamua kurudi Arusha nyumbani ni kwamba siwezi tena kuvumilia mabaya ya Madee, Mimi mtoto wa kiislamu siwezi kusema uongo, riziki hapangi Madee riziki anapanga Mungu, narudi kwetu, sikuua..... Sikuwahi kusema ila na umaarufu wangu nimerudishwa nyumbani kwa kukosa ada sio chini ya mara moja, Siku ya mwisho Madee aliponipiga bila kuniuliza, nil...ishindwa kwenda shule kwa sababu nilikua Kibaha ktk show, Hiyo show ya Kibaha yeye ndio aliniagiza tena malipo yalikua laki moja tu nikarudishwa nyumban saa7 usiku, Kesho yake nilishindwa kwenda shule, nimerudishwa nyumbani saa7 alafu natakiwa kuamka saa 10 kuwahi foleni, Hizo msg Madee anasema nimemtukana sio kweli, aliichukua simu yangu baada ya kunipiga na kuanza kujiandikia.
TUNAHITAJI KUWA NA HAKI ZA KUWALINDA WATOTO KWENYE SANAA YA MZIKI NA FILAMU,,NAFKIRI KILICHOMTOKEA ELISABETH LULU MICHAEL NI FUNDISHO KUBWA SANA AMBALO TUNATAKIWA TUWE NA SHERIA ZA KUWALINDA HAWA WATOTO.DOGO JANJA NI MTOTO BADO MDOGO ILA AMEKUWA AKIPATA AU KUKUZWA SIKU BADO SIO ZAKE KWAKUWA MIKONONI KWA WATU WALIOAMINIWA NA WAZAZI WAKE.WAZAZI IT IS TIME NANYIE MCHUKUE JUKUMU LA KUTIZAMA MNAACHA WATOTO WENNU KWENYE MIKONO YA NANI.KWAVILE KWA SASA TUMESKIA PANDE ZOTE MBILI TUMEJUA UKWELI HALISI.JAMII PIA MSIONE MTOTO WA MWENZIO UKAGEUZA SURA NA KUENDELEA MAANA YALOMKUTA HUYU YANAWEZA MKUTA MTU YOYOTE DUNIANI.BASATA PIA INATAKIWA KUCHUKUA HATUA ZA KUWALINDA WATOTO WALIOMO KWENYE SANAA PERIOD.., SOURCE:WWW.MILLARDAYO.COM




