So basically Kuwa Mbunge requires only kujua kusoma na kuandika or mtu yoyote yule ambaye ni mwanasiasa hana haja hata ya kuwa na elimu ya juu,ahsante.
Babu Semhanga ulieanza shule mwenye umri wa miaka 72 Somaaa babu halafu uje kugombea jimbo lako kura yangu unayo kiroho safi..,
Kwa wengine poleni Kwa kufukuzwa kazi!,
And ya happy birthday homie chuma benzzzzz😙😙