Genuine Nordic Vodka
Showing posts with label A note to Miss Tanzania Diana. Show all posts
Showing posts with label A note to Miss Tanzania Diana. Show all posts
Monday, March 6, 2017
WE HAVE FAILED YOU DIANA!!!
Hakuna Miss Tanzania aliyepata au kuwa na wakati mgumu kama Diana.
Huyu dada tokea ushindi wake amekuwa akipitia mtihani baada ya mtihani.
CHA kwanza tu baada ya ushindi watu walianza kumuattack tena kukosoa rangi yake aisee watu weusi mnatia huruma kweli tena aibu yaani mnamtuhumu mweusi na muafrika tena Mtanzania mwenzenu,shame on you for that!
Cha pili ni mavazi na muonekano yaani inaonekana wazi kabisa kuwa huyu dada hajapewa support yoyote kutoka kwa kamati ya Miss Tanzania,Sad.
Zawadi zake mpaka leo hii hajakabithiwa jamani atawezaje kuishi kama a representative of Tanzania wakati nchi yenyewe imemtupa?
A miss lazima aandaliwe lakini huyu dada inaonekana wazi kabisa she is fighting Alone peke yake so muacheni awe na kiburi kwani ni frustration ya kuwa na Title halafu haina maana au kumpa maendeleo?
Kwanini tunakuwa na shindano AMBALO halimjali aliyeshiriki let alone mshindi wake?
Mnawashawishi vipi Wasichana kuja mwaka huu kama matokeo yake ndio hivi?
Diana my love kwanza kabisa wewe ni mzuri na cha pili We have failed you.
Tumekuangusha kama Mtanzania mwenzetu na Tumekuangusha kama binaadam mwenzetu.
Sikuji personalky lakin umeweza vumilia vingi na still kuweka kichwa chako juu like The Masai warrior that you are.
Diana you are a fighter and I wish you well huu ni mtihani tu kabla ya kile kikubwa ulichopangiwa,Nakupenda na Nakutakia mema.
Labels:
A NOTE,
A note to Miss Tanzania Diana
Subscribe to:
Posts (Atom)
