Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Thursday, July 13, 2017

Season One,Episode??!









8 comments:

comfort said...

Kuna kitu sikielewagi mie jamani sijui ushamba wangu.hivi inakuwaje mtu anaachika leo kesho anakitu kipyaa hee wanapata wapi muda wa kumjua mtu?au ndy vidumu vinasogezwa?

Anonymous said...

hawa watu ushamba utawaisha lini? kwani lazma mtuonyeshe mabwana zenu kila siku? hakuna privacy anymore?goodness....hawa wanaume nao vipi???

Anonymous said...

nuru my dear please usianze kuweka uchafu wa jinsia moja tusiaribu blog.....mimi ni maoni yangu tu kama mdau wako wa longtime

Anonymous said...

Walotengeneza picha chini . Hawana utaalamu.
Brown ana tatoo ya maandishi KUSHOTO

Alipo kaa na mwanaume iko kulia KACHEMSHAAA

Anonymous said...

Huyu kijana BBF wa Wolper...nlipompiga jicho mara ya kwanza nlijua ni by sexual...huwa wanaume gay macho yamaonyesha...huwaga yanakaa kinamna flami..sijui yanakaukali au kautofauti flani ...kama ni choko tema mzoefu utamwona kwenye macho....huyu ni mzoefu. Halafu kwa nini watu wanamvaamia Wolper....eti anataka kumkomoa Harmonize...hiyo ni sexiest...Wolper ana haki ya kupendwa ni sad kuwa ameangukia pabaya japo nia yake ninkutafuta penzi la dhati...hivyo inatia huzuni jinsi wanavyomvaamia na jumchela na kumdhalilisha, kama huyu choko angekuwa ni mtu tofauti najua bado mngemcheka na kumsema anashindama na mwanaume....nWANAWAKE PIA WANA HAKI YA KUPENDWA.. MLIJUE HILO Mxchewwww

Anonymous said...

Hii ni photoshop ama mtu mwingine, angalia hiyo tatoo ya maandishi mengi kifuani: picha moja ana tatooo upande wa kushoto wa kifua, na picha akiwa na mwanaume ana tatoo upande wa kulia wa kifua.
Kama sie yeye basi watanzania acheni kumchafua kaka wa watu.

Irene said...

episode three season one

Anonymous said...

Jamani huyu kaka ni gay kweli kabisaa..anachukua wanaume wenzie na yeye pia anachukuliwa kiufupi ni mchicha mwiba..akiwa na wolper sishangai kwani nayeye ana kashfa ya usagaji so huwezi jua wanasaidiana vipi..
Huyo kaka anaishi tabata, mabar yote kule wanamjua..he's gay!!