Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Saturday, May 13, 2017

WHY?


Hivi ni lini hii nchi yetu itawatendea haki watu wanaochangiwa,,
Hii sio mara ya kwanza na wala haitakuwa ya mwisho kiukweli mnatia aibu na kuvunja moyo watu.
Mama Kanumba alipewa hela ndogo sana unaweza kuzimia ukiskia.,
WHY even mnataka kuonyesha Utu when its not even real?
190mill for what..,
Mlikodi uwanja wakati kilio cha watoto Hawa  kilikuwa kimegusa taifa zima?
So Mlikodi viti, MC, Mike,sound system na mapambo?
Where did The money go to?
Mnaweza kutuonyesha risiti kwa kila kitu cha 190 milion?
Ifike mda tuwe tunajisuta nafsi zetu,tuwe na aibu kwenye mishipa na tuiogope kesho seriously in all honesty watu wamechanga kiroho safi kwa ajili ya wafiwa and you decided KU use that money bila kuwauliza kwanza?
Afadhali lile shirika waliojitolea kuwapeleka watoto marekani na wanafanya kweli
Kwakweli inafika point unakuwa so down,unavunjwa moyo na vitu vinavyotakiwa kuchukuliwa kiubinaadam but vinakuwa treated so reckless Hivi mkuu Gambo ulipata wapi nguvu ya kuongea?
Watu wakisoma waloripoti nje ya nchi tunawateteaje kuwa mmetumiaje michango wakituuliza maswali?
Kweli tunamsafara mrefu sana kwani I have NO Respect kwa Mwizi aisee Mwizi ni mtu mbaya sana kwani anakuumiza knowingly bila kujali.
Nishahudhuria vilio where mtu wa familia anaiba michango jamani..,
Mtu anatoa kumsaidia mfiwa na kumfariji wakati mgumu halafu mchango unaibiwa au wahusika hawaupati kabisa,ama Kweli dunia imekwisha?
Bado bado sana tunasafari ndefu,mkitaka kuchanga wafuateni wahusika hicho ndio kilichobaki ila kuamini hizi institution za kwetu its a big NO NO!
Kiukweli nimesikitika mno tena sana,knas kurmanjiöööääråwwuxx!

3 comments:

Anonymous said...

You said everything Nuru,tunaogopa kujitolea maana walengwa hawapati..sijui tunaelekea wapi
What was the whole show about???smh

Irene said...

its funny hivi maana ya serikali kugharimikia misiba ni kusubiria michango toka kwa wananchi. michano hakuwa directed to serikali ilikuwa directed to the families. What a shame for such behaviour its right time wanatakiwa wajue kutofautisha maana ya michango na serikali kugharamikia misiba

Bintinyota said...

Ni aibu Kubwa sana
Inaonyesha serikali kweli haina pesa