Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Wednesday, May 24, 2017

NAMNUKUU:MIMI SIJAWAHI KUWA KWENYE CHAMA CHOCHOTE,YUDA IS BACK IN FULL EFECT!!!


Kuna watu wanatakiwa wavalishwe vizuri,wapambwe,wawekwe au wakalishwe kwenye kiti na kukaa kimya tu.,.,
Yaani umetufanya maboya hatuna Iq khaaa huna hata haya wakati mpaka jina ulijiita Lowassa...
Kama ulijua wewe ni actress why uliingia kwenye Siasa to begin with!
Si wewe ulisema tumechoka kunyanyaswa na keki ukamkabidhi Mzee Lowassa Leo unataka kufanya Jamii wapumbavu.,Mbuta Nanga!
Msema Uwongo huwa hamtizami mtu Usoni and in this interview you were either high au ulishindwa kuwa  mkweli...,
I hate Unafki and Lies more than anything in The world.,
Kuweni wakweli kwa maamuzi mnayoyafanya hata Kama baadae utajuta but kuwa mkweli especially kwa kile ulisimama mbele ya watu na kuwaonyesha umekichagua kwa mda huo kwani maneno, picha na kumbukumbu za nyuma tells another story!!!

5 comments:

comfort said...

Huyu nae bwana.

Cute Olive said...

tulishamzoea Yuda sio kwa uongo huo

Irene said...

ha ha kazi ipo its right moment watu wawe na manager wa kuwaguide what to talk

Anonymous said...

same here nachukia unafiki na uwongo wa wazi yaani fanya kila kitu but those two huwa zinanipa hasira mnooo

sosoano said...

yuda anatafuta antesheni mana hana kiki tena,
nguo mbaya anazouza, bwana hana, atapata wapi pesa ya mashauzi ndio ameamua kujiongepea mana hatudanganyi sie coz ukweli tunaujua na tumemuona
so asitupe shida sie
akae kimya tu
ambembeleze hamo arudi kwake period.