Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Tuesday, May 30, 2017

MAKE TIME FOR PEOPLE WHO WILL DO THE SAME FOR YOU!!!














 MGENI RASMI MJ..,



 Ushawahi vaa nguo ukajihisi huna hata tako lakusingiziwa hahahahah.,I can!t!!





 Half Spanish,Half Tanzanian!!!


KAMANDA SIRRO.,















 Kumekuchaaaa..,



 MJOMBA TORRES..,


THAT!S ALL FOLKS!!!

9 comments:

sosoano said...

hahahhahaa!!!!!!!!!!! da nuuu umeniacha hoi kweli
nimecheka mpk mbavu zauma
kahh!!!! eti ukajihisiiiii nnini vile ................... hahah!!!!!!!!!

comfort said...

Hahahaaaaaa,unalo la kukalia tu kwakweli nahiyo nguo nyeusi lo!.

Anonymous said...

Haaaaaa Waafrika tunapenda matako .
Dream matako makubwa
Hivyo Si mind . Mwenye nako hata avae diraa linaonekana

Cute Olive said...

hahaha nimecheka nguo zingine zinaficha shep. ila ujumbe pale juu ndio haswaa umenigusa

Irene said...

umependeza sana i love free dress huwa hazimkatai mtu. amaizing umeonge jambo la maana sana dedicate muda wako kwa watu wanaokujali

NURU THE LIGHT said...

Yaa kuna nguo hazikucomplimate vile ulivyo unaweza kujicheka mwenyewe 😃😃😃 au kujikimbia hahaha

Anonymous said...

Kumbe huyu babu alikuwa mgonjwa?Nilisoma kwako .

Mzee Francis Kanyasu aliyechora Nembo ya Taifa amefariki dunia usiku wa kuamkia leo akiwa kwenye matibabu Muhimbili Hospital

NURU THE LIGHT said...

Ahsante kwa taarifa mdau..
Thank u wapendwa

Bintinyota said...

Light sasa huyu MJ ndiyo shemela? Hatafuti mchumba?

Kama nakuona unavyopanua mapafu hapo.

Muda ni zawad haina kiwango, tuutumie vizuri sana. Ujumbe mzuri