Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Monday, May 1, 2017

Harusi Ya Madam Florah na David Kusekwa In Mwanza!!!

Ahsante kwa mualiko wa Harusi dah nimekosa mahanjumat😔😔...,

7 comments:

sosoano said...

mashalahh walipendeza
Mungu awatangulie kwenye maisha yao

NURU THE LIGHT said...

Amen. .,

Anonymous said...

Yaani comments kwenye mitandao kuhusu hii arusi inanisikitisha sana mnoooo! 1) huyo kaka (mume) kama ni wa chekechea jamani si ana wazazi na walikuwepo arusini na padri aliuliza kama kuna mwenye kipingamizi....SIWANGEJITOKEZA BASIII? 2) huyu kiana ni udogo kiumri lakini mi mkubwa pale sheria inapohitaji yaani ni 18 na zaidi, hivyo hajabakwa au kulazimishwa, na nyie mnaopiga milelele kaaa michura ya mvua za masika mlijue hilo mxvheeww 3) wengi mwajidai nchi yetu ina double standard nikimaanisha mimi nitende kitu ...nafikishwa mahakamani lakini wewe utende kosa lile lile nlilotenda....huguswi wala huulizwi chochote.....basi BA NDUGU KAMA MADAM FLORAH ANAMPLBEMENDA MTOTO WA KWANAMKE MWENZAKE......MBONA HAMKUPIGA MIKELELE HIYO HIYO WAKATI KLYN ALIPOOLEWA NA MTU ALIYEMZIDI UMRIIII TENA KWA SANA?? AU KWA SABABU NI MWANAMME KAFANYA HIVYO! Yaani nnachosema mwacheni Madam Florah na Mwacheni kumwita Zari bini...kuna mjanaume mizeeee inaoa vibinti vidogo zaidi ya vitukuuu vyao na huwa mnafyata mcchew! ...niwakumbushe...Kipenda Roho...Hula???!!!

NURU THE LIGHT said...

Mpenzi hiv wabongo unawajua?
Ni wa kuwazoea tu kwani maneno is all they have na katoka kwa handsome na kwenda kwa handsome mwengine.,
Kingine ni mwanamke...had a man done this asingeitwa maneno yote hayo na baadhi ya watu wanatamani lkn hawawezi so kumuona mwenzao kafanya lazma waongee kwani some ppl hate what they want for themselves na Envy.,
Wale wanaomkejeli K ndio haohao kutwa wako page yake na kumuita madame au bosslady wa ukweli sasa alozitafuta na Mengi na K kuzikuta tumuitaje?
Haohao watajidai kibabu but i can guarantee You wakitongozwa na huyo huyo wanayemuita hivyo je watakataa..,
watu wajue kutofautisha neno bahati au wajifunze maana ya bahati
You see double standard na unafki goes hand in hand kwa wabongo,.,

Tabi said...

Hongereni sana, Mwenyenzi Mungu awatangulie katika ndoa yenu

Anonymous said...

I wish her happiness maskini ya Mungu wamemseeema Dada wa watu, sisi hatujui aliyoyapitia na hakuna hata anayesikiliza yaliyomtokea kwenye ndoa yake ya kwanza ni masimango wananyoosha vidole simply kwa kuwa Mbasha ushahidi haukutosha au mahakama ilimuachia haimaanishi kwamba hana hatia na wanaojifanya wameokoka sana wanasahau hata maandiko yanasemaje wanaibua vijipande vya mistari wanavisimamia kumsimanga Dada wa watu. Haku na mtu asiyemdhambi wote si wasafi mbele za Mungu tunahitaji toba kila siku. Tusichume dhambi zaidi tumwache Dada wa watu aishi kwa amani. Kuna wakristo tena wanahudumu makanisani wana ndoa mbili active na hao tuwaiteje. Inasikitisha sana lakini Mungu anajua yote hongera sana Madam Flora...CinTea

comfort said...

Hongera sana Flora