Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Wednesday, April 19, 2017

Yaliyojiri!!!




2 comments:

Anonymous said...

Nchi yetu imetekwa. Nilikuwa likizo Tz. Nikaenda ofisi za CDA nimevaa gauni imefika getin niilikataliwa kuingia mpk nikaazimwa kitenge.
Niko Dar mtt anaumwa,
na nyumba Mbezi kwa jogoo. Ni kaamua kwenda Lugalo hospitali. Tunajiandiisha nikaambiwa sirusiwi kuingia na suruali .Nikaulizia itakuwaje? . Wakanishauri niende na bajaji ninunue khanga .Mama mmoja alikuwa kwenye foleni akaniazima khanga yake moja. Sasa maswali ni mengi Tunaelekea wapi??? . Kila kitu marufuku.
Sina tako la mchina wala lakujaliwa. Useme linatisha .
Ziwa ndo nimejaaliwa kama natenda ya yatima.

Sijui Tanzania Tunaenda wapi .
Ila huduma niloipäta hospitali nawasifia kama niko huku ulaya.
Na naepukaga hospital binafsi kwa kupewa antibiotic kwa wtt. Wakati huku wanaishia panadol
Hii kwa mwendao Tz mtenmbeage na upande wa khanga

Anonymous said...

Kim Jong Un kanichekesha.
Mbona kawaingiza waarabu kwenye ugomvi wake na Trump.
Anawainsult, wamefanya nini?
Bonge la mkorofi huyu baba.
But seriously, tuombe Mungu aingilie kati. Huyu yuko tayari kufanya chochote, hawapendi hata wananchi wake.
Lord have mercy, MissY.