Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Thursday, April 13, 2017

Yaliyojiri!!!







4 comments:

Anonymous said...

YULE MBUNGEVALOTAMANI TANZANIA IWE KONGO HAYA POLISI WAMEUWAWA. MUNGU LINDA WANANCHIII

Habari zilizotufikia hivi punde, zimeeleza kuwa, askari polisi watatu wameuawa na majambazi huko Mkuranga, Mkoani Pwani.

Habari hizo zinasema kuwa, askari hao wameuawa kwa kupigwa risasi na majambazi hao wakati wakijiandaa kuondoka kwenye lindo ambalo lilikuwa ni kizuizi cha barabarani ili warudi kituoni.

Imeelezwa kwamba majambazo hao waliwavamia ghafla polisi hao waliokuwa kwenye gari na kuwapiga risasi na kuwaua wote palepale eneo la tukio, kisha kutokomea kusikojulikana

Anonymous said...

Shost mie ningeacha waone mgongo tu . Ila sio sura . Na ma nyama uzembe kaa yangu bado Unajua cha uchiii.

Wanawake eti wasipotunziwa watoto wanachambia Insta. Vyoo hamna ndani .hamuulizin hao ndo mtawatambulisha waneno baadae???



sosoano said...

hhhhahah!!!
da nuu hii ndi bongo yetu jmn,
I love my TAnzania

bongo kama kwa trump
acha muvi ziendeleee

Anonymous said...

Mda mwingine sisi watoto wa kike hata huwa hatusikii, imefika mahali nimeacha kuwaonea huruma wasichana wanaotelekezwa hasa na watu maarufu. Jaman wasichana tusome shule/tufanye kaz, tujitegemee. hizi pole na sympathy za kwenye mitandao hazisaidii