Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Monday, April 24, 2017

Why,Mbona Za Gucci na Armani mnanunua kwa Laki na Zaidi!!!

Ya Tausi Likokola sijui inauzwa kwa bei gani but hii Chibu perfume that is The price..,
Ifike mda tuwe wazalendo na kufurahia kuwa we have our own Tanzanian brands kwenye bidhaa tofauti..,
Tausi,Flaviana,Kidoti,Daxx,Wema,Shekha Maanjano,Winfrida,Jacqueline na Hellen Dausen wote wamethubutu na kuwa mfano.
Support your Own otherwise Who Will?

2 comments:

sosoano said...

da nuu shida sio kusapoti
shida wengi wetu tuko na salio la chini hatuwez mudu hizo bei zao, afu wasanii wenyewe wanapewa bure ila wewe wa kawaida ndio ununue kwa bei ghali
chaa
abaki nazo japo natamani
we da nuu unataka kuniambia pale clouds media wamenunua wote wale mana wamepiga picha wako nazo
swali je walipewa ili wapige nazo picha au wamepewa bure au wamenunua?

Anonymous said...

kwa mawazo yangu hapo , na uelewa wangu may be alimaanisha kwamba kama akitoa no body spray watu wa hali ya chini pia wanaweza kununua si wote wanaweza kununua perfume kwa bei hiyo, wengine ndo mshahara wa mfanyakazi huo anapata, so if not leo hata next year anaweza tengeneza body spray na watu wakafurahia pia kwa kumuunga mkono- mi na mawazo yangu - ambutterfly