Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Monday, April 17, 2017

SELINE X Q BOY VITANI NA RECORD LABEL ZAO!!!

Tubonge tz tv
Seline alikuwa msanii mmoja chini ya label ya kina Navy Kenzo The Industry,mskilize!
Q boy alikuwa Wcb,na yeye mskilize!

3 comments:

Anonymous said...

ULIMSIFIA LULU BILA KUJUA CHANZO NURU
Anayemgombanisha Mamisa na Young D ni Amber Lulu kwani bado ana uhusiano na Young D na wamekuwa wakipika na kupakua ila Amber Lulu akija kwa Mamisa anajifanya wao ni washkaji tu lakini ukweli tunaujua sisi watu wao wa karibu, wale (Young D na Amber Lulu) hawawezi kuachana.

NURU THE LIGHT said...

Ungekuwa umeiandika hii comment kwenye post husika ahsante kwa kunijulisha dear..

sosoano said...

da nuu naomba na hapa niongee kitu kuhusu wasanii wetu wa bongo wa aina yyt ile:
-wasanii wetu wengi hawajui kujielezea au niseme hawajui nini cha kuongea ukiwa kwa intavyu,
-huwa wanaongea tu ili mradi kaulizwa swali
-maswali mengine ni ya kuyajibu kwa hekima na busara
-sasa wasanii wa bongo wao wanajijibia tu afu tukianza kumsema anaanza kutukana
-as msanii hutakiwi kujibu kwa nyodo, kashfa,dharau, ukiwa umelewa, umevaa hovyohovyo tu tena kama hapa ndio kabisaa wako nyuma, msanii hajui nguo ipi aivalie wapi na ipi ivae wapi yani ya harusi anavaa kwenye intavyu na ya intavyu anavaa kwenye tamasha basi tabu tupu
-sisemi warudi shule no, ila wanatakiwa wawe wanaangalia hata intavyu za majuu wenzao wanavyojibu
-wao kutwa wako kwenye insta kuangalia alichoposti tumemjibu nini aanze kuporomosha maneno,
-watumie social media ku-make pesa mbona inawezekana ukiamua

mengine siku ingne
nitakuwa natoa vitu mbalimbali kadiri niwezavyo