Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Monday, April 3, 2017

MALKIA WA NGUVU 2017!!!

FAIZA ALLY 
SOPHIA BYANAKU 
 ZAMARADI MKETEMA

SHILOLE AND SOPHIA KESSY
 GEA HABIB
MAUA With les Crew 





 KATARINA WA..
 MAUWA,MWASITI NA SHILOLE
 DJ OMMY AND GEA
 FARAJA NYALANDU AND JENNIFER BASH



 Washindi sekta ya sayansi na teknolojia
 Washindi biashara za jumla na rejareja

 IRON LADY MISS SOPHIE,,
 Washindi sekta ya kilimo.,
 Washindi sekta ya Afya.,



REBECCA GYUMI 

 WEUSI

 NANDY
KHADIJA KOPPA,MWASITI,MAUA AND NANDY 
 RAY C

NICOLE FRANKLIN,A NEW ACTRESS INTOWN!

8 comments:

Bintinyota said...

Labda Mimi sijui kuvaa but Shilole kavaa nini?

NURU THE LIGHT said...

Bintinyota nimeambiwa niko negative kwa kufanya kitu nafanya since 09 so acha nikae kimya leo ntarudi kesho kuwa negativ again😁😁😙😙

Anonymous said...

Haaaaaa labda alokwambia anaishi na positive. Mie nadhani sio wote wa naingia hapa kusoma. Muhinu Ukiona mtu kawa kituo .
mu inbox , unaweza uk amwambie . Make up ilikuwa bomba ila.. . Kumyambua mtu hapa ni kumuogopa. Na kutaka kujiridhisha utakavyo wewe.
M face mtu
Mu inbox ile next time ajitoe vizuri.
Alafu ukisoma mtu hajapendeza je wewe unapendezagå . KIOO kinatudanganya wanawake.
Mawazo yangu hata mie naenda kuwa positive sana washaaa wamevaa. Shilole nguo kanunua kwa wolper wanampa ka handbag

NURU THE LIGHT said...

Joan Rivers May her soul rest in peace hivi Joan alikuwa anawainbox mastaa kuwa wamechemsha?
Hivi mnaelewa the purpose of a blog au?
Redcarpet reviews maana yake mnaelewa au?
Since 2009 nafanya red carpet reviews tena nilianzisha maana wengine walikuwa waoga bado tu hamuelewi au akifanya wendy Williams na E news ndio mnaelewa..,am confused.
I think as long as mtu hakutukani na anakwambia kistaarabu kuwa umekosea hakuna haja ya kumind wala kupanic Istoshe imesaidia watu kujifunza mengi kuhusu mavazi na muonekano hivi hamkuona wanaija walivyo piga pamba hata wa hollywood wakakalishwa..,
Naogopaje mtu wakati sura yangu,maneno yangu na kila kitu humu KIKO wazi,Come on!
Wewe mwenyewe umeniandikia anonymous mpenzi but its all good d e kärlek eller hur.

Anonymous said...

Shilole kajistili afazali maana kiruu
Zamaladi kanoga na mama Sasha
Kidoti hilo domo ila hongela
Light kama mtu kanoga kanogilee tu na kama kaharibu huwa unasemaga ukweli

Anonymous said...

Nuru penye ukweli lazima kusema hata kama hatosoma yeye humu atakuja kusoma jamaa yake kama huyo hapo juu ambaye nahisi kama povu limemtoka vileee hivyo ujumbe umepokelewa. Fanya yale tuliyozoea kuyaona na kuyasoma na kutufanya tuwemo humu ndani 24/7. Atakayeona hauko sawa anaweza akaacha kuingia. Ni mtazamo tu masela msijenge chuki. Winnie

Anonymous said...

awiii anawainbox sijakuelewa anyo why awinibox wao ni vioo vya jamii mtu akichemsha anakosolewa ili na jamii tujue kuwa alikosea wapi next time nasisi tukitaka kuvaa tujiangalie na hicho kitu tunachotaka kuvaa na wtunaenda kwenye event gani.

watu wengi huiga mastaa wa movie, music, models etc wamevaaje

sidhani ni righ thing awe anasifia tu 24hr, halafu kuwasema aende inbox.

Keep doing your job Nuru the light -- am butterfly

Bintinyota said...

Hapa makavu live.
Ukivaa live, twakwambia live.
Hatukanwi MTU ni kurekebishana tu.
Watu hujifunza kwa makosa, tusiogope ukweli. Wa TZ hatupendi ukweli.
Ukiambiwa ukweli hater lol

Hapa Zuria lirud tu.