Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Thursday, April 13, 2017

LA FAMILIA!!!





4 comments:

Anonymous said...

Mama T nae hajiamini kwenye 100 kajiweka ktk 35 .kwa mtazamo wangu. Hivi mie na maisha yangu yananiridhisha .sisubutu kuonesha udhaifu wa mwanaume wangu . Alitakiwa aishi kama haumizwi au hajaumizwa.
Mwanaume mwenyewe unaona nae kama m kutano wa bunge kwa mwaka mara ....
Kisha unaita preshaaa.

Anonymous said...

Huyu mama Latifah naye full wasi wasi!! Anapiga vijembe kwenye Instagram utadhani hajasoma!!! Kweli mwanamke kukosa kazi ndo matokeo yake hayoooooo anashindana Insta Muda wooote kupiga domo!!! Sasa Ka Mume unaye wewe kelele za niniii? Lazma uelewe kitu Kimoja wewe ni mama wa watoto watano sasa hiviiii ukipiga blah blah kwenye Insta hipendeziiiiiiii kabisaaaaa Mpenzi, tulia Lea watoto wako na boyfriend wakooooo... Mengine waaachie wasichana please!!! God bless you,:

Anonymous said...

Kwa kweli haipendezi kabisa tatizo hajiamiani, angekuwa anajiamini asingepiga kelele hivyo na ndio maana anajitahidi kujiweka hadi na vichupi ili aonekane mtoto mdogo. Chezea bongo wewe kuna wazuri wa kufa mtu bwana lazima mama T aweweseke mana Dai akiwataka ni secund anawapata. Hahahaha tulia mama T umejaliwa kila kitu unacho mama.

Anonymous said...

K azi ipo hapa bongo