Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Monday, April 10, 2017

KUNA WAKATI MPAKA YAKUPATE NDIO UTAELEWA,NIMESKITIKA SANA TENA MNO!!!







Hizi ni baadhi tu ya mengi nloyaona mitandaoni.
Halafu mnajidai kuwa tuna amani na upendo.,,
Kiki kwenye maisha yako?kwenye kutekwa?Utu uko wapi?
Sasa hivi vijana wanne wako nyumbani je kwa siku tatu mama zao na baba zao walikuwa na hali gani halafu leo hamuonyeshi utu?
Mlitaka aongee nini zaidi na kile alichoongea.
Where is the Compassion?
Halafu nje za nchi wanatusoma raia ambao hata si Watanzania je wanatuchukuliaje?
Aisee sometimes tunasingizia ukosefu wa elimu but huruma na utu hakifunzwi shule ni wala darasa lolote lile duniani.,,AM done!

2 comments:

Anonymous said...

Yaani baadhi ya watanzania wana laana za Mung! Mtu mno namuona kabisa alivyo na maumivu akiongea bado mnaandika maneno kama haya ya kummumiza zaidi? Mlitaka awambie nini ndiyo mrizike??

I hope he won't be reading these nonsense comments!

Anonymous said...

Nuru nimelia kwa uchungu watu wakatiri mungu atawaonyesha tu washenz san