Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Thursday, April 13, 2017

KEKE YOU GO GUUURL!!!


Ok ulaya wanaiita Ghana must go Bag..,
Bongo niliambiwa zinaitwa Pemba bag..,
Sasa kwavile Keke made this Trending today so tuone kama wengine watafuatilia!

10 comments:

sosoano said...

da nuu uku kwetu zinaitwa msambaaa

anonymus said...

A.k.a shangazi kaja!mwamini

Anonymous said...

Nuru bongo zinaitwa shangazi kaja. Winnie

Bintinyota said...

Shangazi yoyomba.
Pemba bag!!!

Watu watabeba tu

Anonymous said...

Ona mpaka watu wamemgeukia.
Dah wacha inipite hii fashion..

NURU THE LIGHT said...

Hahahahaha best post ever..,kumbe lina majina mengi hivi ngoja nlitafute ulaya nilivalie outfit..,

comfort said...

Niliiona hii kwa linda ikeji.ila inaonekana nzito lo!

NURU THE LIGHT said...

Wanemgeukia because she is a celebrity..,

Bintinyota said...

Nzito ukijaza vitu.
Nuru ntakutumia pic, but yangu itakuwa ile ndogo

Anonymous said...

wakati wa msiba wa wa baba wa Taifa mama Maria Nyerere alilibeba wakati anatokea Uingereza pale AIRPORT tangu wakati huo mifuko hiyo ikaitwa ya mama Maria,kwa wanaokumbuka