Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Friday, April 14, 2017

Yaliyojiri!!!



GOOD ONE AMBER,WE NEED THIS KINDA OF HEART!

2 comments:

sosoano said...

da nuu naomba niseme hv leo japo wengine wataniona sina akili ila ipo siku watanielewa tu
iko hv wasichana wengi siku hz wanakimbilia kubeba mimba, wakidhani kuwa ndio staili ya kuolewa coz vijana wengi wa kiume wana msemo unasema kuwa sitaki mwanangu alelewe na baba mwingine,
so wanajikuta wako ndani ya ndoa bila ya kupata mafunzo jinsi ya kuishi na mume
na ndio shida kubwa iliyopo kwa sasa hapa nchini na kwngineko
mfano huyu mama tamar angekuwa amefunzwa jinsi ya kuishi na mume asingeanika ushuzi alioandika kwenye media,

kwa mwanaume muelewa hawez kurudi kwake ng'oooooooo kwa maneno yale aliyoandika
narudi kwa mama, nao wamekuwa mstari wa mbele kutowafunza watt wa kike maadili mema siku hz,
binti mdg siku anabeba mimba na hata wazazi wake hawamuuliz wala kuchukia na ndio wanamlea mjukuuu kwa kisingizio kuwa anaweza asizae uko ukubwani
achen ujinga
hakuna mtu mwenye mkataba na Mungu kuwa azae au lah akiwa mkubwa

binti kutwa uko kwenye social media, utajua saa ngapi huyo unayemuita mumeo amekula, ameoga, ameenda wapi, avae nn,
kwao hujulikani rasmi,

mabinti si wanapenda kuiga mbona hawaigi akina rihana,niki minaji, ariane grande, taylor, mpk leo hawajazaa na pesa zote walizonazo au wao hawana vizazi
beyonce amezaa akiwa na umri mkubwa tu tena sana na sasa hv ana mimba
kim wanayempenda amezaa akiwa ameshaolewa
why wadogo zake kim wasizae wakiwa wadogo? na pesa zote walizonazo

acheni ujinga kujijengea taswira mbaya kwenye vichwa vyenu,

NURU THE LIGHT said...

Suzana hii tutaweka iwe topic yenyewe km yenyewe acha nimalize easter wkend.,