Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Thursday, March 23, 2017

YALIYOJIRI!!!




HUYU POLISI KUTOA BUNDUKI HADHARANI HAIKUWA KITU CHA BUSARA KABISA.
HAKUWA ANAENDA KUDEAL NA A CRIMINAL ISTOSHE NAPE WAS NOT HOLDING ANY WEAPON SO WHY?
NA JE ANGEWADHURU INNOCENT ONES MAANA HAKUJALI MAZINGIRA YALIYOMZUNGUKUKA HE JUST WAS VERY VERY UNPROFFESIONAL AND OUT OF CONDUCT.
MBONA MWENZAKE ALIKUWA CALM AND COLLECTED MEEN SOMETIMES MNAFELI KWENYE VITU VIDOGO SANA KAMA HIKI.

3 comments:

Anonymous said...

Sijawahi kuumia kama tangu nivyoanza kusoma na kuangalia habari hii. Mungu anasikia manung'uniko ya watu, kaanzwa Nape leo ambaye alikuwa kiongozi je raia wa kawaida si wanaonewa mpaka basi? Tanzania si nchi ya amani. Hakuna utawala uliowahi kufanya haya hadharani tena kwa marudio within a span of few days...CinTea

Anonymous said...

From Nyerere to this leader today.
A shame and horror.
And it's only been a year.
What more insanity is to come.
Zero credibility.
Zero integrity.
At least it's out wide in the open no going back or cleaning this up.

Anonymous said...

Si Tanzania tena tusipoamka atatuyumbisha huyu msukuma. Atatusukumaaaa. Na makonda atampÄ madaraka ya Juu. Kisha watawatawala watakavyo.
Tu tafuta wa kumpa kura miaka 5 tu inamtosha