Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Wednesday, March 15, 2017

WASTARA VS FAIZA ALLY!!!

NILIWAAMBIENI SOME FEW WEEKS BACK KUWA WANAUME WA KIBONGO NI WAMBEA MNO NA WASTARA KANITHIBITISHIA HILO TENA,YA NI MPAKA WANAUME WA NCHI ZINGINE WANAKWAMBIA TZ MEN LIKES TO GOSSIP,SHIIT!
MASWALI YOTE NA MAJIBU KUTOKA KWA FAIZA MWENYEWE UZURI WAKE NI MUWAZI HUWA ANAONGEA KILICHO MOYONI MWAKE.

6 comments:

Anonymous said...

Wanaume wakibongo wambea dunia nzima!!! Lol...CinTea

Anonymous said...

Wastara
kaongea ya kweli.Watanzania wako radhi wamuharibue mtu rizk kwa umbea "wengi wao"
NA hii inasababisha na kukosa vitu vya kufanya . Nchi za jiran wako busy kusimamia maisha ila wao wako busy kuyachelewesha maisha yao.
Yeye kataja wanaume mie naongeza na wanawake pia, Magazeti pia.
Shilawadu tumwache Raisi kampitisha na anaiona kazi yake ya maana sana kuliko muuzaji chips


FAIZA.
Nimekupendaa ulichoongea . Ila na nyie uko wa Ally mko wengi na sijui kwanini mnagombanaga ktk faceb au insta.
Huo ugomvi na ndugu zako niliusome faceb mlikuwa matukanana wenyewe kwa wenyewe kama hamjatoka kwa baba mmoja.
Achen ushamba wa kusema eti ukimchamba mtu kwenye social media ndo umetoa kinyongo. Leo mkifiwa mtakutana nyumba moja hilo tambueni

Na ulipotukanwa alitajwa mdogo wako Ungenyamaza kwani ile story ilikuwa na ukweli. Hata mie naijua.
Si aliolewa kwa Mzee hamdani uhindini.
Nakuna vingi nyie wadada wa kitanzania mviache "kusema yule alikuwa na jina hana cha maana alichifanya"
Anzeni kuwatazama walofanya vya maana mf wanigeria,wakenya wasouth A NK . Mkiendelea Kuwatazama wa chini na kutafsiri maisha yao kumbuka
HAMFIKI POPOTE"
Ukimtazama alofikia na ukayatamani maisha yake UTAFIKA .
Wapo walofanikiwa na wasofanikiwa.
Mwone Zari .Aliolewa na Tajiri mwenye Majumba na mali .maduka ya dhahabu na nguo kila kitu alikuwa nacho .
Lakini leo hii tena Kaka Mond ndo kamtoa ktk nyumba ya kupanga kaweka hapo alipo .Na ukiwa angalia
Wasouth A anaowajua wote wanamaisha mpk unayatamani. Yeye anamaisha ya kubadili sha picha za ndani ya nyumba . Na wengi mko ktk insta yake na kumwonear rahaaa.
Msishushune wenyewe kwa wenyewe

Mange!
Ni mdada alopotia mengi toka utotoni
Alilelewa na mama wa kambo.
Alikuwa mtundu shule na mwenye akili
Alifiwa na wazazi . Akasumbuana mahakamani na mm yake wa kufikia kwa ajili ya mali
Ni mdada jasiri sana na mwenye Uvumilivu Rohoni ..Na hiyo alivyopitia ndo vinamfanya awe ana fight na anayemchokoza.
Ana roho nzuri Sanaa tena sana.
Ila hataki kuingiliwa .

Bora ugombage na Mtu baki ila sio ndugu.
Dada yako kaja ulaya kitambo
Kawaleta wengi ktk familia . Zaidi ya watu saba. Kawaadapt watoto na kawasaidia ndugu wa upande wa baba .
Amefanyaa vya maana Tz .
Ungemshika ungefika nae mbali Fai.
Sitirianeni kuliko matusi .faceb

Mnadiriki kutumia na picha ya baba yenu Facebook "Mnaandika angalia maisha ya baba yalivyo msaidieni.
Inguen inbox Fai . Wasitirini wazazi.
maana maisha yenu mnavyoyanadini na ile picha ya baba yenu yuko nyumbani Dom yanasikitosha .

Nuru nakusifu sana u nawapendeni wazazi wako na unajitambua. Unapenda na na ndugu mpk rahaaa
Mungu awaweke pema wazazi wangu .






Anonymous said...

Mmmmmmmh Anonymous 10:05 AM, umenifanya nimeyajua mengi kuliko nilivyokuwa nafikiri. Asante sana maaana umeandika kwa kirefu mweeeeeeh. Winnie

Anonymous said...

Anonymous @ 10.05 AM... Umemaliza . Mungu awasitili wazee wetu. Insh'Allah awarehemu wazee wetu waliotangulia mbele ya haki.
Kuna lingine kwa wa Tanzania hili swala jamani linasikitisha sana. Matusi yani unakuta mtu anatukana matusi makubwa ktk page za watu yani mtu unatowa matusi kama vile ujazaliwa yani huna wazazi... Cha kuchekesha unamtukana mtu wala hakujui.. Kwa mfano unaenda kwenye page ya Zari Au Wema mtu kapost kitu kwa raha yake unakuja unaporomosha matusi makubwa makubwa, wewe unafikiri ni ujanja tena unajisifu nimemchamba kweli. Kumbe umejichamba mwenyewe hakuna mwenye habari na wewe. Tuwache matusi ktk page za watu.
AM...

Anonymous said...

Faiza nampenda as a Person , utasemaje unampenda ex wako na unammiss, Huyo mpenzi wako mpya ata jisikiaje like substitute 😂😂
Uko bongo movie noma, hizo status mjini zinawafanya watu kugombea wanaume sijui wa hes...tena anaona bora wabanane hili yake yaende....😅😅. Bora Steve nyerere alie mwaga chozi. hahahahahah
AM.....

Anonymous said...

Anon 10.05am People like u are pathetic.stop talking abt Zari if u don't knw anythg abt her.As her relative I won't keep quiet this tym u Tanzanians hv done enough to mud sling her.By de way she doesn't live all her life on social media u know nara abt her life.u saying Diamond gt her frm a rented hse like u helped her pay bills she owns dat hse with Ivan that's y diamond would never live there coz it's nt allowed in our culture Diamond was just being man enough to buy a bigger one for her kids and they put tenants in de old one so u mange pple stop spreading lies every tym u get an opportunity Get busy yo president is trying so hard to inculcate a working culture in u bt u Tanzanians are too idle minding other people's bizness nkt!