Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Monday, March 20, 2017

RAIS JOHN POMBE MAGUFULI X PAUL MAKONDA LEO HII!!!

Millardayo.com

3 comments:

Bintinyota said...

Rais WA CCM!!!
Imehusu mini hapo.
Mxxxx

Anonymous said...

Hata kama mimi ndo Rais Magu, singekubali wapuuzi wa mitandaoni kunifundisha kazi hata siku moja. Leo tena huyo huyo mange alikuwa anapiga kelele kuhusu madawa ya kulevya ...wameanza kushughulikia..sasa anabadilisha sijui nini sijui nini. Yaani nimempenda Magu kwenye hili. Muhimu sana kama kiongozi kuonyesha mfano on Principal.. ..hata Princess Diana walimuua kwa sababu ya yeye kutaka kutia doa Royal famili sijui kuolewa na nani na hata Rais Putin wa urusi alilipua theater iliyojaa waRusi wenzake mara ilipotekwa na maharamia na kumtaka sijui apinde sheria gani....sometimes sio kila wafanyalo viongozi ni sahihi kama hii ya makonda kuvaamia cloudsFM...lakini Magu ameamua kufumbia macho ili kukomesha vimbelembele wanaotaka kumfundisha kazi yake....kafumbia macho On Principal . Full stop!!

sosoano said...

m nataka kuuliza
kwani millard ayo ameshahama clouds au?????????????