Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Sunday, February 26, 2017

WHAT IS HE DOING,IS HE SERIOUS?




KUTAJA DINI AU KABILA SIO SAHIHI IN ANY CASE HIVI NDIO MATATIZO HUANZA.
KUTAJA HILI TUKIO HAKUKUWA NA HAJA KABISA AND ANOTHER THING UNATAKA KU CREATE NINI NA HII STATEMENT?
AT TIMES BE THE BIGGER PERSON THATS ALL NA KUMTAJA MUNGU KILA SAA IT AINT RIGHT KAMA NAFSI YAKO SIO NYEUPE.

5 comments:

Anonymous said...

Huyu mwehu asiendelee kitu jaza story hizo tushazichoka.

Bintinyota said...

Mungu siku hiz hakopeshi.
Ukiwa mnafiki anakufedhehesha hapa hapa. Ajipange tu kama anatumia ucha Mungu kuficha yalifichika

Anonymous said...

Mie nachoka kabisa angenyamaza kimya kwa kweli na anaonekana kabisa He is guilty na makosa yake ndio maana mara kwa mashekhe sasa kwa mapadri. Nisiseme sana atubu na awe mpole kiburi si maungwana. Eti sauti ya Mungu kamwambia nani? wa muache Mungu wetu...CinTea

leezy said...

aache mambo yake
kwanza anamuaibisha Mungu wetu hana adabu kabisaaa
ndio mana Mungu atabaki kuwa Mungu mana ningekuwa n mm ndio mungu ningempa za kichwa fasta na viboko kwenye matako yake kaaa shilole

ila huyu konda atakuja kuaibika vby kama asipotubu kweli
mana huwez taja dini hata kama ni kweli umewajua
je ikiwa ni wakristo wamevalia mavazi ya kiislam?
pumbavu zake

Anonymous said...

usanii mtupu hakuna lolote,mwanaume mzima hana hayaaa kwanza akili zero kazi kulamba makalio ya wanaume wenzie