Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Tuesday, February 7, 2017

SIJUI HATA NIANDIKE NINI?


Millardayo.com and Bongo5.com

4 comments:

Anonymous said...

Nadhani unakosa neno. Roho inauma .Sielewi wamekutwa nazo?Na sijasoma Nikakuta neno Wamekuja nayo . Dahhhh

Anonymous said...

this isnot right..at alll

Anonymous said...

Nuru I really wish to hear your opinion on this.
Well, this is really unacceptable. Napinga madawa ya kulevya kwa nguvu zote don't get me wrong. Lakini huu ni upuuzi..hivi Tanzania na Africa alieturoga nani kwamba upuuzi wote tunao sisi.Makonda na watanzania wanawajua maboss wa unga mbona wamewaacha ...nimesikitika sana na hii kitu.kwa mwendo huu Africa tutabaki kuwa bara la giza.hapa marekani hii ingekua ni law suit against Makonda na angepoteza kazi. He is really unqualified. ..I said the first day he was appointed. This is not vita ya madawa..This is bs at it's best. ..
Mdau wa Marekani

Bintinyota said...

Yaani hata kama wanahusika, haki ya MTU iko wapi? Utu WA MTU uko wapi?
Narudia tena.
Cyber crime law ukituhumu kiongozi, ndyo una kosa? Na kiongozi kumtuhumu mwananchi na kumdhalilisha?

Hakuna njia sahihi?
Jeshi wanaenda shule daily kupata elimu ya kazi zao for what?

Mdomo koma