Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Thursday, February 2, 2017

PAUL MAKONDA AKIWATAJA WANAOTUHUMIWA KWA MADAWA YA KULEVYA,ISH IS GETTING REAL!!!

Ina maana kwa mujibu wa maongezi yake ni anataka kuwatia ndani au kuwahoji?Kataja watumizi,wasambazaji na madealers na hata polisi ambao wanatuhumiwa all in all Mskilize mkuu wa mko wa Dar es Salaam Paul Makonda.
Millardayo.com

4 comments:

anonymus said...

Vita ni vita muraa!mwamini

Anonymous said...

Abaridi
Mungu akuongezee unaiokoa Dar . Kwani imetaja Dar.
Ila anatajaje bila uchunguzi? ?
Angefatilia kisiri ndo Angewakamkata
Hapo ndo utajua Tz viongoz kaa nguvu ya coca ilotijiswa.Alianza wakaka poa na bado tu nawaona YouTube ktk maharishi wa nakata viuno.
Wamejaa Dar mpk wanaogombana yao maalum. Dah Mungu Tunusuru na hizi laana zikizolokumba wanaadamu. Mungu waokoe watoto na vizazi vyao.
.
Kina Hariri walianza kuuza Kinondon kabla sijazaa mpk nimekuza. Wanamajumba kama ya matajiri wa Dubai na hawajui kani kazi zao.
Bado ila ikikaza na kama umeamua utawakamata

Anonymous said...

Mi sielewi. Imenishangaza mtu unaita press conference unataja majina ya watu hata kabla ya kuongea nao na kuwa na ushahidi utakaoletwa mahakamani. Sheria kweli inaruhusu haya?
Nawaombea wote wanaopambana na madawa ya kulevya, Mungu awalinde na Familia zao na awape busara zaidi kuweza kushinda hii vita. MissY.

Bintinyota said...

Angetajwa yy na MTU, kwa kitu chakusikia huyo MTU angekuwa ndani (cyber crime)

Tanzania hasa inafurahisha!!!!
Kiongozi can say anything, but people can't!!!!