Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Monday, February 6, 2017

NANI KAMA MAMA!!!


Ukishakuwa Mzazi unabeba vitu vingi sana juu ya mtoto wako,,
Hakuna mzazi anayependa mtoto wake apotee njia au akumbwe na mabaya lakini mzazi hauko peke yako kwenye malezi ya mtoto wako kwani kuna ulimwengu nje ambao  unaomba yale ulomfunza mtoto wako ajue kutofautisha kati ya njia sahihi au not,,
HII kazi ni ngumu na haina mshahara.
Kwa wazazi wote kwenye wakati huu MPEWE nguvu,subra,ujasiri,uvumilivu na busara maana it cannot be easy sometimes kwenye maamuzi yenu kama watu wazima huwa mnaumiza familia zenu more than anything else especially wazazi kwani wasiowajua they will symphathize for a second but your loved ones ndio watakaoumia.
Kila jambo lina mwanzo na mwisho,,

7 comments:

Anonymous said...

Umenena Nuru tena maneno ya busara. Tanzania Wanapenda wa one mtu anamatatizo . Kutaman KUPO hata kwa kusingiziwa.
Ester Bulaya Mbunge ameongea ya maana sana.
Kuna wakati ilivuma Nuru na yule kk mwenye Dar stockHolm blog na wengine ni Mapunda.
Na wakaawaacha Mapunda hali si walokamatwa na kukäå JELA huku pass zao zikiwapi za Tz viongozI wadogo SIFA . Walianza wasenge mpk kipindi cha zama kikafungua
INASIKITISHA

NURU THE LIGHT said...

Naomba usinikumbushe nyuma maana kuna watu waliingia humu na kuongea maneno makali mnooo sitoisahau maisha yangu mpaka nakufa na sitowasameheni juweni hilo mpaka naingia kaburini mimi na hangaika mornin till night i Work halafu unanihukumu because of hear say,,,
Unashindwa hata kujua kuchambua au kutizama au kumpa mtu a benefit of a doubt?
Wabaya wangu nawajua one by one but even you the readers mlikuwa mkiingia kwenye blog nyengine na kusambaza hizo taarifa wenyewe mnajijua but leo hii 2017 namshukuru mungu
Jamani staki ongea zaidi,,kila jambo lina mwisho Ameen!

comfort said...

Hiyo sasa yakutowasamehe hadi unaingia kaburin mmmmmmmh umeenda mbali.unasamehe tu na Maisha yanaendelea dada yangu.

NURU THE LIGHT said...


Kuna vitu vya kusamehe lkn siwezi msamehe mtu anayetoa ukweli na kukutungia uwongo,,
Mtu anafanya kitu intentionally ili uharibikiwe au achafue juhudi zako..
Mtu UNAHANGAIKA usiku mchana and watu wanakaa simply because wao ni wavivu au wao ndio wanafanya hayo mambo ila wanakubambikia wewe intentionally,,
Kama unaujua ukweli yet you still choose kusambaza uwongo wewe ni zaidi ya nyoka because nyoka hakuektii Bali hukung!ata ila sio binaadam wa hivi,,
Kuna mtu anakuwekea sumu na kukusev chakula knowingly utaathirika je wa hivi unamsamehe wapi na kama maisha tayari yanaendelea which all of you can witness,,

Anonymous said...

Nimekuelewa Nuru nakupenda

sosoano said...

da nuu pole sana,
jmn hakuna kitu kinauma kama kusingiziwa yani inauma mpk unahisi ujitoe roho,
afu sasa ukute unajaribu kuwaaelewesha kuwa ukweli ni huu afu wao hawataki kuukubali yani ndio unazidi kuumia
pole sana da nuu
mie yalishanikuta sina hamu na walimwengu

Anonymous said...

Nuru my dear samehe tuu, maana unamwombaje Mungu akusamehe makosa yako wakati wewe huwezi msamehe mtu mwingine?Samehe tu my dear na songa mbele, Mungu ndio atawaadhibu na bila shaka Mungu ameshawaadhibu bila hata wewe kujua na wanajuta!!