Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Monday, February 27, 2017

MWANAUME SURUALI KAA MBALI NA,SIWEMA ONE OF THE BEST INTERVIEWS 2017!!


Wanawake sometimes huwa mnabeba mengi juu ya wapenzi wenu.
Mwanamke mwenzangu beba kwa atakayekubebea pia ila sio mwanaume SURUALI.
Nimekupenda kuwa umeongea ukweli na kwa busara ila ningekuomba umpiganie mwanao kwani iko siku atakutizama machoni na kukuuliza Mama kwanini hukunipigania Bali uliniacha tu trust me Siwema hayo maneno yatakuuma kama vile mtu kakuchoma kisu cha moyoni so that is all I ask of you.
Nimependa na nadhan umejifunza kupitia experience yako kwani mtu mmoja anaweza kukufanya ujione kama vile ulikuwa na watu 20.
Kuna mtu alisema kweli mapenzi ni Utumwa yes offcoz ukikutana na mtu ambae hakupendi au yuko kwako kimaslahi then always wewe ndio utakuwa UNAHANGAIKA.
IT means yale magari na mengine mengi wewe ndio ulimfanyia ili AONEKANE Mtu mbele ya jamii lakin wewe leo hii uko wapi my dear?
Always ogopa mtu anayependa kuongelea watu au kudhalilisha watu basi jua yake ni mazito na hayabebeki so its better kufocus na ya wengine,,
Juzi Sister Fey kalia kuhusu wake je kuna wangapi ambao hatuwajui?
Sometimes kuwa Single ni kitu kizuri sana kwani utajifunza kujua unataka nini,unahitaji nini na Most importantly thamani yako ni nini.
Siwema wewe bado ni mdogo,haya ni mapito ila mpiganie mwanao asije akawa yet another example ya baba yake kwani hujui baba anamwambia nini kuhusu wewe kutokuwepo maishani mwake,ZINGATIA hilo please!
Unaambiwa baada ya karaha basi raha iko mlangoni na wakati sahihi ukifika basi utampata anayekufaa.
Yule mzee japokuwa alijua yote bado alikupenda ila wewe macho yako yalikuwa kwengine but haikuwa RIZKI yako but make sure next time akija mtu sahihi atakayekupenda All Of You basi utampokea kwa mikono miwili,nimemaliza.com!

No comments: