Bongo Mubashara. Valentine wamejaa nguo za halloween. Sijui macho yangu au ??? Aunt naonaga kaa anakorogaga kwenye kuvaa basi na mosses nae anakoseaga. Sasa rangi zao ukavaa maua yanayofafanana na mwili
Wolper unaenda mbegeee usije let's warevaaa iPhone warevaa Tecno. Na aunt naye alijieleza sasa ukienda shughuli ni sio lazima usimame mbele ya kadamnasi unahadithia mlivyoamja dah uliniboa.Ungeiga kajala hakuhadithia aliomba. Mbona Zama na Uwoye walilia wao hawakuhadithia jifunzeni wadada mmeshakuwa
Nuru naomba utoe somo la matumizi ya GOOGLE pictures maana hiz dress codes sasa zinatia hasira... Jina la event halifanani na mavaz hata ya mmoja wao, afu kila mtu ni kama alikuwa anaenda kwenye event tofauti na mwenzie kama iyobo na aunt...
Swala la Dresscode nimeliongelea huu sijui mwaka wa ngapi na bado watu kila mtoto wanavaaga pension hivi Barnaba ni wa kuvaa pensi onstage? Kila mtu kavaa anajua yeye aisee na ma insta graaaam ila watu Dresscode bado mnooo,,
I don't know even how to ask it Nuru ni nini hiyo Linaha amevaa??? what is that??? good lord, does she has a mirror? nkt simple is always good, looks like hell or werevaaaa hahaha
5 comments:
pipo dont have mirrors in their homes au ni kujitoa akili???? maaaaan....
Bongo Mubashara.
Valentine wamejaa nguo za halloween.
Sijui macho yangu au ???
Aunt naonaga kaa anakorogaga kwenye kuvaa basi na mosses nae anakoseaga. Sasa rangi zao ukavaa maua yanayofafanana na mwili
Wolper unaenda mbegeee usije let's warevaaa iPhone warevaa Tecno.
Na aunt naye alijieleza sasa ukienda shughuli ni sio lazima usimame mbele ya kadamnasi unahadithia mlivyoamja dah uliniboa.Ungeiga kajala hakuhadithia aliomba.
Mbona Zama na Uwoye walilia wao hawakuhadithia jifunzeni wadada mmeshakuwa
Nuru naomba utoe somo la matumizi ya GOOGLE pictures maana hiz dress codes sasa zinatia hasira... Jina la event halifanani na mavaz hata ya mmoja wao, afu kila mtu ni kama alikuwa anaenda kwenye event tofauti na mwenzie kama iyobo na aunt...
Swala la Dresscode nimeliongelea huu sijui mwaka wa ngapi na bado watu kila mtoto wanavaaga pension hivi Barnaba ni wa kuvaa pensi onstage?
Kila mtu kavaa anajua yeye aisee na ma insta graaaam ila watu Dresscode bado mnooo,,
I don't know even how to ask it Nuru ni nini hiyo Linaha amevaa??? what is that??? good lord, does she has a mirror? nkt simple is always good, looks like hell or werevaaaa hahaha
Post a Comment