Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Saturday, February 4, 2017

DIANA VS MUSTAFA!!!





9 comments:

Anonymous said...

Diana mzuri kabisa
Ila hakupata mafumbo ya kutosha kama Miss:
Ongea yake , anaongea papara, haraka, na singo, kichwa vinatikisika macho ya napepesa .
Mpk Mavazi ya likiwa hivyo oo.
Mchague mamiss na mkoba washamba wenzangu mnawaangaia mafumbo.
Hata mwenye kigugumizi hongera na usije anakigugumizi yote ni maxoezi tu

Bintinyota said...

Tobaaaa
Mbona asimtafute pembeni?
Sasa hawa wawakilishi hawafunzwi manners?? Hii si aibu ya bendera lol!!!

sosoano said...

hivi ni kweli au utani
mana haya mambo hhmmm!!!
ya ngoswe muachie ngoswe

comfort said...

Jamani kwani hajui pakumpatia hadi aandike huko.

NURU THE LIGHT said...


No matter kipi kilitokea hakupaswa muandika on social media,,
cha kwanza yeye ni mbunifu je mtu akitaka fanya kazi naye si ataogopa kwa hii tukio,,cha pili huyo ni miss kuna channels za yeye kupitia na ikiwa hawakuweza mpata basi angemchukulia hata hatuwa na next time kama atafanya waandikishane ili hata sheria iweze chukua mkondo wake pale mtu yoyote atakayemfanyia tukio kama hili na yes hakupaswa kumfanyia hivi kwani huyo ni miss Tanzania kwahiyo kaaibisha wengi tu first the organisation na miss na nchi,,
at times hata kama tumekosewa alipaswa kutumia channels nyengine n then kuwatag hao kwenye post yake sijaelewa why kwani wanahusikaje?
Sijapenda wote walivyofanya kwani miss kakosea lakini hata yeye pia kakosea there are ways kuomba haki yako but this wasnt kwa caliber ya ubunifu na stage uliyopo kama mbunifu,,

Anonymous said...

Nuru Umemaliza . Professional designer my foot...uko wapi ustarabu wako..kwani huna number yake ya simu, ata akizima simu unajuwa wapi pa kumpata.. Kuna mambo unafikiri labda unamdhalilisha mtu, kumbe unajishushia heshima yako... Au hii ndio style yako ya kudai.
AM...

Bintinyota said...

Mh!!! Mambo yakishosti haya.

anonymus said...

Nuru you are right! Two wrongs don't make it right...!mwamini

Cute Olive said...

very beautifully!
black beauty
Kuhusu designer kajiabisha tu mtu mzima hovyo! hata kama alizima sio kila mtu ajue wakati anamuazima mbona hakutangaza insta!