Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Saturday, February 4, 2017

BASI SAWA!!






5 comments:

sosoano said...

kwa upande wangu mi naona yuko sawa kiasi flani
ni kweli hata ukiangalia kwa vipindi vya tyra utaona kuwa wengi wa model hakuwa warembo kivile na pia wako warefu
n mtazamo wangu

Anonymous said...

Tutolee fujo hapo, umeongea unachopenda. Wewe na Calisah wote sawa pigeni kazi au kwakuwa wewe uko south...
Hamissa anafaa kuwa model inategemea anafanya nini kwani alikwambia anataka kwenda kushindana na kina Didi Haid au Kendall Jenner
Kwa mtazamo wangu,, yes she can!!!!!
AM....

Anonymous said...

kasema wazi kabisa nimependa .... vigezo muhimu watu wanakuruuka tu model ...ok in what?

sosoano said...

da nuu, watz hawajui kuwa kuna vipengele mbalimbali kama unataka kuwa model
sasa inategemea na wewe unafaa kwa kipengele gani
watz muwe mnagugo basii
unaona hamisaa anafaaa coz hujui mambo ya modeling so please nyamaza
kuna model wa matangazo ya urembo,biashara,mavazi,magazine n.k
nimekupa hayo ili ugugo
shule sometime muhimu ili kuondoa ujinga sio lazima wote tuwe tuna phd o masters

sosoano said...

afu kwa kukusaidia mcheki flavy na miriam na millen
ni model wa kimataifa sio kwa kuwa ni model ndio wakaenda tu
wana vigezo vya kimataifa na ndio mana wameweza kufanya kazi na makampuni makubwa
huyo hamisa wako kwanza ni mfupi na pia anaput too much makeup
model hatakiwi kuwa na makeup nying