Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Monday, January 30, 2017

LET!S START FROM THE BEGINNING!!!




































 KAMA VIPI KAUSHAAAAAAAAAA,,,HAHAHAHAH!!






 HAWA WATU TULIWAACHA HOME TO OUR SUPRISE TULIWAKUTA MACHO HAHAH..
WE LEFT THEM AT HOME AND O OUR SUPRISE WHEN WE GOT BACK THEY WERE STILL AT IT MEEEEEEEEN FUNNIEST ISHH EVER HAHAHAHAAH,,,




 BROTHER!S,,







 WITHOUT THE TURBAN A.K.A TANO KICHWA!!

WE HAD A FAMILY DINNER FIRST BEFORE HEADING OUT INTOWN AND PARTY ALL NIGHT LONG OR TILL THE DAWN REALLY,,
WE DANCED AND HAD SO MUCH FUN AND THE DJ!S OH MY GOD THEY KILLED IT AND IT WAS LIIIIT ALL NIGHT LONG,,
I THANK GOD FOR SEEING YET ANOTHER YEAR CAUSE THAT ALONE IS A BLESSING,,
I WISH YOU A BETTER AND A SUCCESSFUL 2017 FROM THE BOTTOM OF MY HEART,,

NAWATAKIENI 2017 IWE BETTER KULIKO AU IZIDI 2016,,
NAWATAKIENI MEMA NA BARKA NA MFANYE MEMA KULIKO MABAYA KWA WENZENU,,
NAWAOMBEENI MUWE WAELEWA ZAIDI YA SASA NA MUWE NA HURUMA NA UTU JUU YA WENZENU,,
WANAOTAKA KHERI NAWAOMBEENI HILO NA AMANI YA MOYO,,

MWAKA TULIUANZA NYUMBANI THEN NDIO TUKATOKA NA KUJUMUIKA NA WA MJINI BUT IT WAS ALFREDS BIRTHDAY SO TULIKATA KEKI PIA NA KULA DINNER KWA PAMOJA BEFORE HEADING OUT,,,
NAFURAHI NA KUSHUKURU KUWA NIMEUONA MWAKA KWANI HILO PIA NI NEEMA NA BARKA TELE KWA KUPEWA MWAKA MWENGINE TENA KUTOKA KWA MOLA,HAPPY NEW YEAR MY PEOPLE!!

9 comments:

Anonymous said...

Happy people 👍🏽,...family is everything!!!!!!
Nuru umependeza yani hicho kisket umekitendea haki....mguu sio wa spoti spoti. Looking so damn good!!!
AM...

Bintinyota said...

Happy new year hun.
Ameen duaa iwe kwetu sote.

Its good to have fun

Cute Olive said...

umependeza sana Nuru. inaonekana kabisa jinsi mlivyoenjoy

Totoo said...

Sehemu niipendayo. La Familia

Anonymous said...

La family rahaa ila UWE unaangalia picha gani uweke .
Zoom picha utaona wengine sijui cha kila au kama. Juu ya pua na kwenye mustache.
M

NURU THE LIGHT said...

Hahahahhah unazoom ulikuwa unatafuta nn kwenye mustasch mpenzi uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiii you made my day huo ndio uhalisia mamii,,ahsante
Ahsanteni wapendwa 😚 😚 😚 😚

Tabi said...

Nuru ulipendeza, naipenda sana hii family,heri ya mwaka mpya wote,kila la heri

NURU THE LIGHT said...

THE SAME TO YOU TABI,MUCH LOVE

Anonymous said...

da nuu ulipendeza sana
by suzana