Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Monday, November 21, 2016

WOLPER!S HOUSE OF FASHION!!!





8 comments:

Unknown said...

Hongera sana wolper. Ila sasa ulivyoenda huku china na yule shoga ago mbona hukumshauri na yeye aje na mzigo wa biashara jamani? ushoga mwingine sio.

Anonymous said...

Hongera sana wolper, ila hiyo mifuko umekosea kidogo, "Everyday new arrive." Sijui ulitaka kusema nini hapa.

Anonymous said...

KUNA VINGI VYA KUSIMAMA SIO MAISHA YA WENGINE WE GRACE HATA PAKUPANGA SANGINE HUNA .Hapo ndo baadh ya weusi na watanzania mnachelewa

Huyo shoga ake;
Humlishi
Humlishi
Humping hela ya pedi
Hakuhusu zaid ya kusoma mitandaoni
Huna udugu nae
Huna hata na saba nae
UNAACHAJE KUANGALIA MAISHA YAKO NA WANAOTUHUSU UK AANGALIE YA HUYO SHOGA .
YAANI TZ NA WAAFRIKA WANAHITAJI ELIMU YA ZIADÃ… ILI WAWEXE KUJITEGEMEA SIO KUTEMBEA MTU.
UNAMTEGEMEA MTU MPK UNATAKA MAISHA YAKE YA WE UTAKAVYO.

TUSIMAME KUPIGANA WATOTO YATIMA
WATOTO WANAOCHEZEA
WANAOANZA KUTESWA WAKIWA WADOGO
TUPI GANI WATOTO WANAOJIUZA KWA KIKIDHI MAISHA
TUPI GANI ELIMU KWA SISI WANAWAKE ILI TUACHANE UMBEA.
TUPI GANI MATES KWA WANAWAKE

Anonymous said...

In aonekana Grace huna maisha kabisa. Bado unafatili ya watu .Da uko nyuma mamy

Unknown said...

Thanks Anony hapo juu kwa kusema sina maisha. na kweli sina coz nahitaji zaidi ya haya niliyonayo sijaridhika nayo ndio maana kila kukicha naparangana kutafuta zaidi ya hichi nilichopewa na Mungu hongera wewe uliyeridhika na uliyonayo. HAHAAAAA acha tu nikucheke eti hata pa kupanga sina uwiiii tuongeeni tu mitandaoni tusitake kujuana zaidi. Sijui mlielewaje hiyo post ila kwa mimi napenda urafiki wa kusaidiana kimawazo na kila kitu kilichoko ndani ya uwezo wa mtu. Tatizo sijui ndio utimu au ubinafsi wa mawazo na yaelekea hata marafiki zenu mkiwaona wanaelekea pabaya mnakaa kimya tu bila hata kuwashauri sasa huyo ni urafiki au unafiki? hampendi Wema asemwe kwa chochote, huo ndio ukweli hata povu liwatoke. Kwanza anony hapo juu jifunze kuandika kiswahili kwanza ndio uje kuandika upupu wako huku kama hakipandi andika tu kingereza, sio kutokwa poooooovu uandishi wenyewe majanga. mxeeew!!

Anonymous said...

Grace you are very right, na uliongea point nzuri in a very positive way. Issue ni kwamba watu hawampendi wema ndio maana siku zote wanagombana na mtu anayemwambia wema ukweli. Yaani hawa fans wake wangekuwa wanampenda wangeanzisha kampeni ya kumpa ukweli na sio kumbaby sit while she is getting worse kila siku.

Anonymous said...

We Grace unajuaje mazungumzo kati ya huyo Wolper na Wema? Unajuaje labda Wolper alimshauri na Wema akakataa? Mbona unamlaumu dada wa watu (Wolper) bila hata kujua ukweli wa haya unayomshutumu? ACHENI UMBEA JAMANI.

Tabi said...

Hongera na kila la heri Wolper