Beautiful gal, hivi huyu Wema haoni wenzake, wakiwa kwenye media ni kwa mambo ya maana, yeye kutwa kusutana na kutoleana mambo ya ndani, jamani. Kweli kila mtu ana uhuru wa kuishi atakavyo, lakini Wema sasa uku anapokwendea, ata thamani sijui kama itakuwa level nzuri. Ndipo mnasikia mtu kawa teja. Kwa sababu hakuna tena attention. AM...
4 comments:
Beautiful gal, hivi huyu Wema haoni wenzake, wakiwa kwenye media ni kwa mambo ya maana, yeye kutwa kusutana na kutoleana mambo ya ndani, jamani.
Kweli kila mtu ana uhuru wa kuishi atakavyo, lakini Wema sasa uku anapokwendea, ata thamani sijui kama itakuwa level nzuri. Ndipo mnasikia mtu kawa teja. Kwa sababu hakuna tena attention.
AM...
Huyu dada anakula bata lake la chini chini kimyaaaa no matangazo.
I love her much.
Nampenda huyu dada jaman..na Mungu azidi kumbariki..
Post a Comment