Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Thursday, November 24, 2016

ENZI ZAO,BACK THEN!!!

ENZI ZAO THEY WERE THE BEST OF FRIENDS,,
ENZI ZAO LAZMA ULIKUWA UWAKUTE WAKO PAMOJA MDA MWINGI,,
ENZI ZAO THEY WERE LIKE BROTHERS,,
ENZI ZAO DIAMOND ALITAMKA HUYU NDIO ATAUPELEKA MZIKI MBALI BAADA YA MIMI,,
ENZI ZAO WALIKUWA MARAFIKI WAZURI MNO TO EACHOTHER KWELI LEO HII IMEKUWA HIVI?
INASIKITISHA BUT KWAVILE NILIUONA NA KUSHUHUDIA LIVE UKARIBU WAO LEO HII NABAKI NIMESHANGAA HUKU NIKIWA NA MASWALI MENGI MNO.
HISTORIA ZA HAWA WOTE INVOLVED MKIJUA WALIVYOKUWA WAKIISHI ZAMANI NA MPAKA KUJA KUFIKIA HAPA PROVES TO ME KUWA UMAARUFU PLUS WATU WANAWEZA AT ANY GIVEN TIME KUWAFANYA MUWE MAADUI.
THIS DID NOT HAPPEN IN A DAY THIS HAD TO BE GOING ON FOR A WHILE.
HII NCHI USIPOKUWA UNAJIELEWA NA KUJUTAMBUA NA KUWA NA MSIMAMO BASI JUA UTAPITIA MENGI.
IKO SIKU MTAKAA NA KUMJUA MBAYA WENU WOTEEE NYIE MTAKAA BUT BY THEN IT WILL BE TOO LATE KWANI ALOT OF DAMAGE WILL BE DONE ALREADY NA KILA MDA UNAVYOZIDI KWENDA KURUDIA ENZI HIZO JUST GETS FURTHER AND FURTHER AWAY.SAD SAD SAD!!!

3 comments:

Anonymous said...

HAPA NDO TUJIFUNZE WATANZANIA YA KWAMBA KUKO SANA KUPO TU.
ILIPO TOKEA YA WEMA NA MUNA WATU WALIKESHA UTADHAN WANAPIGANIA DIAMOND APATANE NA BABA YAKE MZAZI.
AU MUNA APATANE NA MAMA YAKE MZAZI.

ILA WATU WEUSI TUMEUMBWA NA ROHO MTAKABIFU ,HATUNA MAPENZI TA KWELI ,WANAFIKI NA ROHO ZILIZOJAA CHUKI.
UTAKUJA NA NA MTU ANATAKA UMLIPE WEMA ALOKUFANYIA BILA HIVYO INAKUWA TANGAZO.
HATUJAMLIPA MOLA KWA PUMZI ALOTOA KWETU HAIILWEZEKANI TULIPANE WENYEWE.
NA CHUKI ZETU HUJA KTK MAFANIKIO
MUNGU ANATUMIA NA NA AMINI ATATUONGOZA.
ILA MAFUMBĂ– KWA WANAUME NI SAWA NA WADADA TUUUU

Anonymous said...

Na viongozi wao rohooo chafu kabisa.
Sorry mabasi wa Diamond wanaonekana kama wao ndo wenye ufunguo wa riziki.
Diamond nae utandale haumwishi .
Nimemnunulia kuna kwenda shule na kuna kuwa na ELIMU na kuna kujitambua.
Diamond akiumwa lazima atoe fumbo kwa ka ma Dida bwana .

An atakuwa awe kaa Mange .
Mange anamsururu alogombana nao ila napendaga anatolea la rohoni hawa mnafiki.
Ukiwa na adui kaa mange hakuuwi
Ukiwa na adui kama mond na management yake ujue umeingizwa kwa black mamba /Koboko.

Wajifunze kuwa wanaume na WAWE na kaa . Haya ni maisha tuuu ni sawa na njia tunapita.Hata uwe faharI ujue unapotaka tu.
M

Anonymous said...

Nuru lazima ujue hakuna hadui mkubwa duniani kama wivu hapo ni roho ya kwanini tu hakuna lolote, mbongo kama mlikua mnalingana maisha ukimzidi tu kidogo basi ujue mambo yana haribika. Domo amevumilia sana ametukanwa sana jamani na hao hao pls ameamua sasa wame mwaga ugali naye kamwaga mboga.