Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Monday, November 7, 2016

A NEW BABY IN MY COLLECTION!!,




 SOON PATAPAMBWA HIVI WIKI HII MWISHONI HALAFU DECORATIONS ZAO NI SO POPULAR KILA MWAKA WANAKUWA NA THEME SO PEOPLE KUTOKA PANDE TOFAUTI ZA ULIMWENGUNI WANAKUJA KUONA PALIVYOPAMBWA!!
 HUU MTI NI MKUBWA MNO,,
 ONE OF THEM IS AT HOME 😍😍😍




NK THE NORDISKA KOMPANIET IS EQUIVALENT TO MACY!S IN NEW YORK  OR HARRODS IN LONDON.
THEY HAVE ALL THE BIG BRANDS FROM ALL OVER THE WORLD AND I THINK MY NEXT BAG SHOULD BE A FRENCH BRAND CALLED LONGCHAMP OR THE SWEDISH BRAND TIGER OF SWEDEN.
Nawaomba nliowataja kama washindi mniandikie sehemu mlipo na email au namba ya simu itanirahisishia sana kujua nafanyaje ili muweze kupata zawadi zenu.
Sorry kwa usumbufu but sina jinsi ila Winnie nadhan wewe ulishanitumia namba na najua unataka nini so wewe its very easy
AM DASHIKI AU?...BINTINYOTA SPA AU?,Nasubiri majibu yenu
Kwa mara ya kwanza after miaka 3 ndio leo nimenunua Simu hahahahah!!
MIKEY MIKE sio mtu wa kwenda nae dukani kanipump mpakaaaa nimenunua chombo kipya my new Phone uwiiiiiiii katika vitu sina ushabiki navyo ni Simu na Dhahabu.

10 comments:

Bintinyota said...

Uuuuwi The Light, simu hata Mimi sina ushabiki lkn madini? Maradhiii.

Bag hiyo front ni nomaaa the brown one. Masha'Allah

Bintinyota available in Zanzibar.
Vuga street
+255773662662

Usijali hii ni public no.

NURU THE LIGHT said...

Sawa ahsantteeeeee yaani cmu hata toChi sina shida ila ss unakuta mtu anapanuliwa na kubinuliwa si dume si jike kisa simu,whyyyy?πŸ‘€πŸ‘€πŸ‘€πŸ™ˆπŸ™ˆπŸ™‰πŸ™‰

Anonymous said...

Hahhahahahahhaahaaha Nuru nakugawa bure khaaaa. Mie pia shetani wa simu wala sinae madini sio sana basi nipo nipo tu...TNS

Tabi said...

Ha ha haaa wee Nuru umepinda mweeh nimecheka mno,nilikuwa mpenzi wa simu zamani kila mpya ikitoka ninayo Ila siku hizi aaah nimetulia huu ni mwaka wa 3 sijabadili..Nice bags

Anonymous said...

πŸ™‰πŸ™‰ πŸ˜… hahahahahahahahah!!!!!! Nuru khaa!!!
Mimi pia shetani wa simu sina habari nae kabisa. Lakini yale madini ya njano yako kwa wingi upande wa UAE...
Nikipitaga kule macho yananitoka kama natungia uzi gizani.....
Dashiki Mummy. IMOOOO!!!!! Summer 2017
AM...

Anonymous said...

Beautiful bags!!! Looks so good πŸ˜πŸ˜πŸ‘ŒπŸ½
AM.......

anonymus said...

Asante the light..
Mwamini in Dar es salaam
mwaminikazema@gmail.com
0655664705.

Bintinyota said...

Duuuh tutachanika misambaaa!! Light hujatulia!!!!

Cute Olive said...

ati unabinuliwaje hahah nimecheka mwenyewe Nuru iyo pochi tu macho yangu yote yapo hapo nimependa

happie said...

oooh hizo bag jaman...so nice..