Mashabiki tunakazi mweeee, bi dada yuko zake kwa kina Bruce Lee full kula raha sie huku mapovu yanamiminika utazani omo imechanganywa na ariel khaaa eeeh Mungu baba basi bora hata tutokwe povu tukikemea pepo linalotufanya tusifate yetu tufate ya wenzetu lakini wapi mmmmh haya nayo mazito...TNS
3 comments:
Ninavyo jua mimi vyote ulivyo vaa hapo ni feki aaaaaaah aksante china
Mashabiki tunakazi mweeee, bi dada yuko zake kwa kina Bruce Lee full kula raha sie huku mapovu yanamiminika utazani omo imechanganywa na ariel khaaa eeeh Mungu baba basi bora hata tutokwe povu tukikemea pepo linalotufanya tusifate yetu tufate ya wenzetu lakini wapi mmmmh haya nayo mazito...TNS
Mungu nisamehe sometimes Mavazi yaangalie maumbile..Hilo guu kwa buti ni balaah.!mwamini
Post a Comment