UNAAMBIWA SIMBA MWENDA POLE NDIO,,,
WAPENDWA NAOMBENI TU MWAKA UISHE MAANA NSHACHOKA KURIPOTIIII!!!
6 comments:
Anonymous
said...
Abee?Kungekuwa na ile emoji wa kuweka mikono kichwani ningeweka, na yule aliyezaa naye kale katoto kazuri imekuwaje? Ngoja nijinyamazie maana naona nataka kukimbiza masinia wakati sherehe si yangu bado miezi miwili mwaka unaisha sasa hivi...CinTea
6 comments:
Abee?Kungekuwa na ile emoji wa kuweka mikono kichwani ningeweka, na yule aliyezaa naye kale katoto kazuri imekuwaje? Ngoja nijinyamazie maana naona nataka kukimbiza masinia wakati sherehe si yangu bado miezi miwili mwaka unaisha sasa hivi...CinTea
Tukanywe chai Cintea hayatuhusuuuuuuuuuu abeg wooooo
Nkiķiiii!?mwamini.
Et nn?????????
Mmmmmmh kweli au kiki za kutoa video mpya maana siku hizi ndy fashoni.
Nimepitwa ndimu kachumbari
Post a Comment