Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Monday, October 10, 2016

SIJUI YATAISHA LINI,AND THE SAGA CONTINUES!!!


ALIKIBA AKIONGELEA TUKIO LILITOKEA WAKATI AKIPEFORM MOMBASA KWENYE MUSIC FESTIVAL WEEKEND HII ILOPITA,MSKILIZE!!

5 comments:

Anonymous said...

Huyu sasa hajiamini kabisaa, kwa hiyo kwa vile meneja wa Diamond alikuwepo nyuma ndio kawaambia wazime mike? Kumbe ana very low self esteem. Hivi Diamond kwa achievement zooote hizo alizopata hii nafasi ya Mombassa ni peanuts kwake mpaka ahangaike kumzibia kweli?...CinTea

Anonymous said...

Mmmmmh Ally ni muimbaji mzuri tena mkongwe ila kwenye upande wa kujieleza naona kama bado sana. Halafu wanamuziki wabongo waache tabia ya kuongea kiswaglish hivi wakijibu kwa kiswahili fasaha inakuwa nini? Angalau basi wawe wanajua hata hicho kingereza chenyewe wapi yaani full mchapio kwakweli wananikera...TNS

Anonymous said...

Yaani CinTea namimi nililifikiria hilo nikaona nikisema naweza nikawekwa kundi la mateam ushuzi ndio maana nikaongelea kwa ujumla kuwa KING kujieleza bado sana. Yeye ni msanii mkubwa, hata Salaam awe maarufu kiasi gani asingeweza kusababisha yeye kuzimiwa mic. Kwanza hiyo show haikuandaliwa na salaam mbaya zaidi haikuwa Tz, yaani waandaaji wakubali show yao iingie doa kisa uteam wa kwenu???!!!! Wapi chura as usual...TNS

anonymus said...

Elimu elimu elimu...!mwamini

Anonymous said...

copy and paste from Ghafla.co.ke
Ali Kiba
This dude was the biggest loser of the night. I'm not sure what his beef was but this guy was supposed to perform right after Vanessa Mdee and right before Wizkid. But we waited and waited and waited. Nothing. No Ali Kiba. Nothing. Half an hour later. One hour later. No Ali Kiba. Even the lights went off. Even the stage went black. The whole event almost came to a standstill. Everyone was waiting for Ali Kiba. Dude still DIDN'T show up. At all at all. And after waiting for over an hour for the guy to perform,it was decided that Wizkid should go on stage and perform. And Wizkid stepped into the stage BEFORE Ali Kiba. And when Ali finally got on stage,he performed just two songs. Two freaking songs. And then he was off stage. Dude was on stage for less than five freaking minutes. WTF???? Total bullshit