BONGO HAWAJUAGI SIMPLICITY HILO NENO DOES NOT EXIST,,
KEKI KUMI,SARE JUU AND THIS IS A PRIVATE PARTY SASA INGEKUWA FOR THE MASS SIJUI INGEKUWAJE.
HALAFU KITU KINGINE BONGO HAWAJUAGI MDA WA KUTIZAMA SIMU NI SAA NGAPI YAANI WATU WAKO ON A DINNER TABLE WAKO NA MA SIMU WHAT IS THE POINT!
SASA MOSE KAINGIA KAISHIA NA SIMU SO WHY YOU EVEN THERE,,
HICHO NDIO KITU HUWA KINANIBOA NIKIWA TANZANIA MTU YUKO CLUB TOKA KAINGIA MPAKA ANATOKA YUKO NA SIMU STAY HOMEEEEEE,,,
VYA CLUB ANATAKA,VYA INSTA ANATAKA,SNAPCHAT ANATAKA,WATSAPP NDIO USISEME YAANI DAH AU YUKO KWA KAMA HAPO ATAWATUMIA WATU MAPICHA WATSAPP WITHIN 20MIN DUNIA NZIMA ISHAJUA YAANI HAMNAGA PRIVACY BONGO HICHO TU HUWA KINANISIKITISHA NDIOMAANA SIKU HIZI WENGINE WANAOWANA TU VISIWANI NA KUMALIZA KILA KITU HUKO HUKO ILI KUEPUKA NA VITU KAMA HIVI,OK BYEEEE!!
Millardayo.com
5 comments:
Umbea ndy unatusumbua wabongo.
Tambia mbaya tu, watu weupe wanaheshimu sana mazungumzo ya ana kwa ana. Hata akiwa kwa mtu kaja kukutembelea akipigiwa simu hataongea mbele yako na atamwambia aliyempigia let me call you back. Lakini mswahili atataka mjue anachozungumza I really hate that thing. Umeenda dinner kula, umeenda kwenye mziki cheza. kweli wangebaki nyumbani tu mfyuuu...CiTea
Kinda mali kids kwaja+umbea wa mwendokasi.= umburula.mwamini
Washamba.Siwangebaki nakwao wawe busy
Badoooo kabisa WAKO nyumaaa
Ushamba mzigo jamani khaaaa, mie jamani hakuna kitu kinanikera kama wakati wa kula halafu mtu yuko busy na simu. Hili pepo sio tu kwa vijana hata wazee. Kuna siku nilipata mgeni mchungaji, alialikwa huku nilipo na kanisa moja sasa kwa kuwa anatokea Tz basi nikamualika nyumbani, yaani kwakweli nilikereka tuko mezani tunakula yeye yuko busy na whatsapp, anachat na waumini, tupigeni picha niwatumie,nikasema jamani kumbe hili pepo hata wazee tena viongozi wa dini, alivyojisemea mkuu bora malaika ashuke kwa maana taifa linaangamia...TNS
Post a Comment