Hivi kwani wema hawezi kuvaa nguo akaiachia vizuri jamani kama sio ataweka mpasuo hadi kwenye chup* anainyanyua tu paja lake lionekana na akiweka mpasuo ambao hauko wazi atafanya chochote kile ili auachie paja lionekane. jamani hayaaaaaaaa watengeneza chai mimi naombeni kahawa jamani huku niliko baridi kaliiiiiiii
3 comments:
Mmmh!!! Ya Ngoswe
He he heee Nuru tuwekee ile emoji ya yule Chura anaekunywa chai mweeh,china ni rahaaaa
Hivi kwani wema hawezi kuvaa nguo akaiachia vizuri jamani kama sio ataweka mpasuo hadi kwenye chup* anainyanyua tu paja lake lionekana na akiweka mpasuo ambao hauko wazi atafanya chochote kile ili auachie paja lionekane. jamani hayaaaaaaaa watengeneza chai mimi naombeni kahawa jamani huku niliko baridi kaliiiiiiii
Post a Comment