Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Sunday, October 9, 2016

BASI BARABAR!!!





IBILISI KAAMKA HAHAHHAHAHAHAH SI NILIWAAMBIENI HAWA WATU NI VING!ANG!ANIZI WAKISHAJUA TU UNA FURAHA NA AMANI HAOOOO ZEY CUM KA BARUTIIIII🙆🙆🙆🙆

5 comments:

comfort said...

Atajutraaa mwaka huu.wanapenda ukiondoka kwao wakuone unateseka ndy furaha yao.

NURU THE LIGHT said...

Hahahah umeona ehhh,,

Anonymous said...

Mtu mzima hovyo kafufukia wapi sijui ibilisi bin makata hata haya hana loooh zee zima. Sasa kama yeye anamwachia Mungu insta kajatafuta nini. Mshweeee zake aende akanywe maji ya dafu... TNS

Anonymous said...

Ila nao wakina wastara maisha yao binafsi kupost kwny mitandao ya nini? Sio kila kitu cha kuweka mitandaoni.

Anonymous said...

Hivi si wanamjazia Mungu kazi nyingi ambazo zingine hazina msingi kabisa, kila kitu namuachia Mungu mnamsumbua tu bwana haaaaa. Wewe ulisema cha nini Bond alikuwa anajiuliza utakirudsha lini. nimemalizaaaaaa. Winnie