Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Friday, September 16, 2016

MY FAVOURITE MALE SINGERS!!!


 BUSHOKE,,

 RAMA DEE,,

BARNABA,,

7 comments:

Anonymous said...

Bushoke has a good voice lakini anapenda kuimba juu ya range yake na kuifanya sauti yake ipwaye au isikike kaukau, I am with you with Rama dee na Barnaba. Wa kwangu mie wa nyongeza ni Banana Zorro, Peter Msechu na Hisia hawa ni wa nyimbo za duniani wa injili siku nyingine... CinTea

Anonymous said...

Nilimsahau na Ben Pol kama nilimtaja basi nazeeka vibaya Lol...CinTea

SM said...

Kweli wewe unajua muziki... yaani hao ni wakali sana

NURU THE LIGHT said...

Ben Pol ni mtunzi mzuri sana ila live no,,
I need to see people or artist that can deliver onstage with their vocal skills,,
Banana na Peter pia ni waimbaji wazuri sana
Wanaume kwenye upande wa Taarab ndio wanaimba even better na Gospel,,
Acha list Iendelee,,
FOR example waimbaji wa band kama chalz baba,Jose Mara,yule kaka wa TWANGA na wako wengine ni waimbaji wazuri sana,,
Bongo flava na mziki wa dansi ni vitu viwili tofauti

Anonymous said...

You are absolutely right wenye background ya kuimba Kaswida kina Mzee Yusuph,AT, Qchilla (sijui nilimsahauje) na hata Juma Nature very good vocals. Marlaw naye pia huwa naweka imagary collabo kichwani sijui kwanini hawafanyi.
There is this new guy Beka Ibrozama I was speechless kumsikiliza sijui kwanini hapati airtime mtaniambia. Anyaways on stage na live that is another league kwa waliobarikiwa lakini tukijifunza tutaweza. Chalz, Jose na hata Ali Choki na Marehemu Banza huyu alikuwa wa pekee are very taletented. In short I love Music mno na nina sikiliza muziki wa ina zote hata mchiriku Lol ila Singeli sijausoma
Hawa mafali wawili muziki wao ni commercial lakini siwezi kuwaingiza kwenye kundi la waliobarikiwa ingawa baadhi ya nyimbo zao nazipenda... CinTea

Anonymous said...

Daah yaani topic hii imenifikisha penyewe nimemkumbuka Nuruelly, Mr Paul na Mad Ice wale wa bongoflevani wa zamani hata Dully na ana swaga lake unique basi siongezi tena ...CinTea

NURU THE LIGHT said...

hahha naona kabisa ila Cin tea ww unajua mziki na waimbaji,,itaendelea na kwenye top 5 umo tayari wanaokoment the most,,