Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Thursday, September 29, 2016

MUOMBE MUNGU KILA KUKICHA AKUONYESHE NJIA SAHIHI!!!








Nilivyoona hizi picha mwili ulinisisimka,,
Huyu mtoto nlidhan ni mtu mwingine kabisa,,
Hivi kwanini watu hawapendi kuwa proud na Kujikubali au kapewa kichwa sasa anajifananisha na Z,,
My god kuanzia lacewig,gauni na baadhi ya mapozi ni Zari mtupu ehh MOLA wazazi MLIO na watoto wa kike kuweni makini na kuwafanya na kuwafunza wajitambue mapema,wajipende,wajithamini na Kujikubali walivyo maana dunia ya leo sio ya mama zetu,,
On other hand sishangai kwani hii mitandao wakipita watu wazima na kumsifia huyu mtoto na kumpa kichwa kiasi ajione yuko sawa,,
Kuna hata mtu anauliza kawezaje kufanya party kama hii ana kazi gani?
Mpenzi she!s a woman and you are still a child,,
Wewe ni mtoto bado mwenzako ni mwanamke alopitia mengi na wewe bado safari yako ni ndefu but kuwa wewe kama wewe and usiige mtu unayemsoma let alone si kila usomacho ni cha ukweli,,
Allah tunusuru na Walimwengu yaani dunia imefikia stage hii badala mumsifie  Rebecca Gyumi aloshinda tuzo kwa kustopisha ndoa za utotoni kitu ambacho  kitasaidia mamilioni ya wasichana mnasifia hiki😭😭😭😠😠😠 am done!!

7 comments:

Anonymous said...

Hata bra nao kasahau kama zari. team iga iga ufe.

Anonymous said...

Mmh Nuru do you think aliamka akasema leo nataka kufanana na zari at times I think sisi wa nje ndo tunadig so much into stuff that probably don't mean anything.

Anonymous said...

What is going on!!! she is still a baby for pete's sake. This monster with the so called name of FAME just robbed the innocent being in this girl.

NURU THE LIGHT said...

Anon 8.15 mimi huwa sikurupukagi kuandika kitu it means nimeobserve kuna vitu watu wana dig into but that aint my style but when it looks like a duck,talks like a duck then it is a duck kuna wakati tujifunze kuongea ukweli pale panapohitajika huyu ni mtoto bado na ukitizama picha bila hata maneno yangu it is so obvious,,Sad

gtie barbie said...

mi nakapendaga kazur kenyewe

Anonymous said...

mmmh sidhani kama maneno ulioongea kuhusu huyu mtoto ni sahihi, kwahiyo watu wasivae wapendacho wasi fanye wapendacho eti wanaiga???? Huyu mtoto ni mzuri sanaa kuliko hata huyo unaemlinganisha nae, kuhusu party wewe unahisi pesa kapata wapi? do you knw her that deep??? pengine anafanya kazi, au nduguze wanauwezo wamemfanyia au hata marafiki au boyfriend what is wrong with that? sad

NURU THE LIGHT said...

Nyie ndio wale wale mkiona taa nyekundu mnataka kukonvince watu ni green kiasi mtoto apotee,Sad