Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Friday, July 1, 2016

KULALA NA MWANAMKE NI KIPAJI,TAKE ONE!!

GODFREY MAJUNGA ALMAARUFU KAMA KAOGE KAONGEA VERY OPENLY KUHUSU KUWA SHOGA NA KUISHI KAMA SHOGA KIUKWELI KAONGEA YOTE HAJAFICHA CHOCHOTE AND FOR THAT NAMPA SALUTE MAANA NISHAWAHI KUONA LIVE KABISA WENGI WAKISEMA UWONGO WAKIHOJIWA ILA HUYU KAKA KAONGEA UKWELI MTUPU NA UHALISIA WA MAISHA ANAYOISHI, ,
NAKUMBUKA MAREHEMU KANUMBA ALIULIZWA JE UNATUMIA POMBE AKAJIBU HAPANA BUT MIMI NAJUA KUWA ALIKUWA ANAKUNYWA POMBE AND EVEN HIS FELLOW WASANII NA HATA MIMI NILIMWAMBIA KWANINI ULISEMA UWONGO AKA BAKI KUCHEKA TUU KAMA ALIVYOKUWA ANAPENDA KUCHEKA ILA KIFO CHAKE MNAKIJUA YALIYOTOKEA GODFREY IT TAKES A SUDDEN MAN KUONGEA UKWELI TO ME YOU ARE A MAN WHO JUST HAPPEN TO BE GAY AND VERY PROUD OF IT,THIS WAS A VERY CANDID AND HONEST INTERVIEW THAT I HAVE SEEN IN A LONG TIME AND FOR THE FIRST TIME ZAMARADI ASKED THE RIGHT QUESTIONS!!,

4 comments:

Anonymous said...

Ahsante kwa video Nuru.....����
Am.....

NURU THE LIGHT said...

Karibu mpenzi maana tusiongee sana wala kipindi hatujakiona atleast now tumeona,,

Anonymous said...

Asante Nuru kwa kuweka hii clip, nami nimesikia kwa masikio yangu. Now, naweza kuchangia katika hili. Naweza kusema Zamaradi alikuwa na nia nzuri kumuhoji huyo mgeni wake, ila inaonekana kama nae alipigwa na bumbuazi flani kiasi kwamba alimuacha mgeni wake akawa yuko free anajipuyangia alivyokuwa anataka yeye badala ya alivyokuwa anataka muandaaji wa kipindi. Mwisho wa siku kipindi kimeonesha kama kinapromote vitendo vya kishoga badala ya kutoa ujumbe aliyetaka muundaaji watz waupate. Matokeo yake anasema watazamaji waache unafiki na kukubali kuwa hivi vitendo vipo na inabidi vizungumzwe. Ni kweli but sidhani kama alitakiwa kuzungumza kwa jinsi walivyozungumza na mgeni wake. Lakini pia timing ya kipindi inawezekana pia haikuwa nzuri, katika mwezi kama huu wa kuomba toba halafu kinarushwa kipindi kama hiki nayo imeleta ukakasi wa aina yake. Naweza nikasema kila binadamu anayake but vitabu vya dini vinatueleza kuwa Mwenyezi Mungu aliharikisha kaumu ya nabii Lutu kutokana na vitendo hivyo, hiyo inaonyesha ni jinsi gani hayo mambo yalivyo mazito. Mwisho wa siku ndio hivyo tuache unafiki maisha yaendelee.

Anonymous said...

Nuru, huyo interviewee ilikuwa lazima aongee openly as amepewa platform ya kujitangaza ulitarajia ajibanebane ili iweje. Ukisikia kujua kutumia fursa ndio huko. Maana kajitangaza haswa na hapo ndio maana watu wengi wamecomment kuhusu mapungufu ya mahojiano yao. Ni kwamba alidominate interview yeye ndio akawa anamuongoza interviewer.