HII SIO BUSARA KABISA AND VERY WRONG ON SO MANY LEVELS!!!
Wengine kwenye picha ni WAUME wa watu ambao hawako hata kwenye hii picha,,
2 comments:
Anonymous
said...
Watanzania kwakweli Mungu atuhurumie sasa yaani mtu na akili zake anafanya kitu kama hiki ili iweje sasa?. Hiyo sheria ipo kwa ajili ya kuwalinda viongozi lakini sio watu wa kawaida kwa maana kama hao wababa wawili si wamedhalilishwa, kama wanawake zao leo songombingo. Looh kuna mijitu haina hata utu.
Mimi huwa najiuliza hivi huwa wanawaza nini, au hawana kitu cha busara cha kufanya zaidi ya kufuatilia maisha ya watu.... Lakini watu Kama hawa ni vigumu kuwasahihisha dunia nzima wapo, ndio vituko vya duniani. Bora hawajutukana. AM....
2 comments:
Watanzania kwakweli Mungu atuhurumie sasa yaani mtu na akili zake anafanya kitu kama hiki ili iweje sasa?. Hiyo sheria ipo kwa ajili ya kuwalinda viongozi lakini sio watu wa kawaida kwa maana kama hao wababa wawili si wamedhalilishwa, kama wanawake zao leo songombingo. Looh kuna mijitu haina hata utu.
Mimi huwa najiuliza hivi huwa wanawaza nini, au hawana kitu cha busara cha kufanya zaidi ya kufuatilia maisha ya watu....
Lakini watu Kama hawa ni vigumu kuwasahihisha dunia nzima wapo, ndio vituko vya duniani. Bora hawajutukana.
AM....
Post a Comment