Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Wednesday, May 25, 2016

WELL THEN!!,

 KAONGEA VIZURI NA NI MAWAZO MAZURI SANA KATOA SASA KAZI KWAO AND THEN ANOTHER THING KWANI LAZIMA WAMTAJE,,GEEEEZ!!,
Hahahahhahahh Idris sasa kuna mijianaume ina tabia za kishoga wakati they are straight,,Sumuuuuuuu!,

7 comments:

Anonymous said...

Hahaha hawa sasa wanataka ushindani wa matimu hii ishu inaweza kuwa kubwa management wamshauri kijana wao aombe msamaha hadharani ila wakishindana watajiharibia hata kazi zao yaani, big up Indris think like a man. Kweli Nuru mijidume mingine ni sumuuuu kama mashoga hawana kazi kutwa mitandaoni kufatilia mambo ya wanawake.

Anonymous said...

Hapo sasa kwani Lazima wamtaje, Kwani lazima Gademu in Lemutuzz voice
AM

Anonymous said...

Elimu Elimu ........
AM

NURU THE LIGHT said...

Hahahhahahahah anon wa kwanza tell me about it jianaume wasichana wote wa mjini anawajua na umbea wa watsapp wakitumiana dumez to dumez,blog zote atazipitia halafu anawasema ma shoga kweli NYANI HAONI KU uuuuuuuuu,Sumuuuuuuu
AM KWA MSISTIZOOO ELIMU ELIMU ELIMU,,BHAAAAAAAAS

NURU THE LIGHT said...

Hahahhahahahah anon wa kwanza tell me about it jianaume wasichana wote wa mjini anawajua na umbea wa watsapp wakitumiana dumez to dumez,blog zote atazipitia halafu anawasema ma shoga kweli NYANI HAONI KU uuuuuuuuu,Sumuuuuuuu
AM KWA MSISTIZOOO ELIMU ELIMU ELIMU,,BHAAAAAAAAS

Anonymous said...

ELIMU ELIMU ELIMU!!!!!!!!! looool

Bintinyota said...

Tatizo hawa watu hawako CREATIVE, na wamekuwa na mawazo mgando kuwa skendo ndiyo zitawatoa, na wanaamini bila kumtaja THE SEPETU hatatoka. Mxxxx acheni UVIMBA MACHO. Tungeni nyimbo zenye message, kufunza, muone kama hamtatoka?

Yaani siku hizi nyimbo za hawa vizazi vipya hutamani hata kusikiliza, sasa sisi ukitutajia, chura sijui hivi, wolper sijui hivi, wema kafanya hivi, bangi kwa kusaga, sijui lulu nafanya hivi mnatupa ujumbe gani? Mnafunza nini jamii?
Imbeni nyimbo zenye ujumbe unaogusa muone kama hamtoki?

Mfano ni shoo ya juzi ya MFALME WA KIKE.
Age zote wamehudhuria, kwa sababu nyimbo zake na hata za watu alizoimba zina ujumbe, na shoo haina machupa, haina utoto, TUBADIRIKE.

Ujumbe wenu nyie WASAFI wadogo.
Angalieni nyimbo za boss wenu zinazoingia katika tuzo zikoje? Ni zile za kisauti cha wema akilia? Sijui nani kafanya hivi?/ Au ni zile nyimbo zenye ujumbe then mwisho hata kukiwa na manjonjo haina shida.

Huko duniani nani anamjua Bambo karuka ukuta, snura kamzamisha chura, sijui majuto kala samaki mbichi, sijui. MKITAKA kwenda mbele kama boss wenu badirikeni TUNGENI NYIMBO ZENYE UJUMBE.