Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Thursday, May 19, 2016

THIS IS SO WRONG IN SO MANY LEVELS!!!


Sasa mkianza kuwatakia malaika vifo huo ndio ushabiki au mapenzi kwa mtu mnaye penda?
Kuna wakati unafika muwe na busara this is very wrong na nimefurahi kuona Wema kawajibu kuwa sio kitu sahihi,,
Teams jaribuni kuwapenda na kuwasupport wasanii but msifikie mipaka mpaka kuwatakia watu vifo,,really!
Leo for example wote kama Tanzania tulitakiwa tumcelebrate Alikiba kwa kilichotokea kama vile wakati Rose Muhando na Nakaaya walivyosainiwa Sony
Diamond akirudi huwa wote tunajivunia kwa tuzo zake mwisho wa siku you are all Tanzanians jamani take PRIDE in that and support the music,movie,tourism but Most importantly be a good ambassador for your Country,nimemaliza.com!

8 comments:

Anonymous said...

Huu sio ushabiki ni ugonjwa wa akili....hawa ndio wale walio shushwa Milembe na geti likafungwa...........
Binadamu mwenye akili timamu hawezi kutamka maneno kama hayo..Lhooo
AM

Anonymous said...

what the hell is this???????? seriously !!!!!!! ehh Mungu msamahe, I have kids and this hurts so much! kama unaugomvi na Zari face her and give her a piece of your mind and stop hiding behind the internet and posting trash.

get a life!!!

Anonymous said...

am short of words! what a hateful heart!

Bintinyota said...

Hawa si mashabiki jamani wana chuki zao binafsi but wanatafutia wenzao ubaya.

Sasa mnaingilia kazi ya Nyumba? Mnaumba sasa na kuchukua!! Astaghafir

Anonymous said...

Mmmmh niliwahi kusikia kuwa hii timu hawajielewi, nataka kuamini aliyesema hayo alikuwa sahihi 100%. I am speechless, sitaki kuamini kama mtu na akili zake timamu anaweza kutamka maneno kama hayo? Hivi ikatokea huyo mtoto akapata tatizo lolote hawajui wao ndio watakuwa first suspect? Hawaoni kuwa watamuingia msanii wao kwenye matatizo kwakuwa watu wanaamini yeye anawajua hao timu waliyoandika hayo? Muogopeni Mungu huyo malaika hana kosa lolote msimnenee vibaya wala msimtamkie kifo kwani hakuna atakeyeishi milele, leo unamtamkia kifo mtoto wa mwenzio wakati na wewe unawakwako Mungu anaweza kumchukua wako akamuacha huyo unayewish afe.

Anonymous said...

Simjui Zari wala Diamond zaidi ya kuwaona na kuwasoma kwenye mitandao ya kijamii but hayo maneno yamenisikitisha sana. Anayeumba ni Mungu why kumkosoa? Na kama watu wabaya ndio wafe mbona tuko wengi wabaya na bado tunaishi mpaka leo? Mmmh hizi timu sasa naona zimevuka mipaka. Inawezekana mwandishi hana mtoto but nafikiri ana ndugu wenye watoto sasa sijui hiyo ara ai pii ikiamia kwenye ukoo wake nako atachekelea?

Anonymous said...

Kwakweli mtu mwenye akili timamu hawezi kuandika hivyo yaani hayo ni mandindindi.

Anonymous said...

Kwa kweli huyo ni mgonjwa si mzima unaemuombea malaika wa mungu asie na hatia maneno mabaya kakusea nini hasa kumuita au kufananisha na nyani,? Mungu awalaani wote mnaomchukia malaika asie na hatia, kama ni chuki mdili na baba na mama lakini si mtoto jamani.