Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Thursday, May 26, 2016

MIMI SIMUITI DIAMOND NAMUITA NASEEB NA KWA SASA NAMUITA BABA MKWE WANGU,WOLPER TAKE ONE!!!



HII YA PILI NI AUDIO YA INTERVIEW KWA UREFU AKIMUONGELEA MCONGO,,

3 comments:

Anonymous said...

Cinema Cinema cinema.....
Kwanza Dah Nuru Ahasante sana kwa hii interview , i do appreciate kwa kutujali.
Jacqueline Wolper Take one Lazima itakuhusu tena utaludi tu kulia...sisi binadamu hatuombeani mabaya lakini...Raj,.......
Pole kwa mkongo, inawezekana alikuwa ata anatega camera mkiwa mnafanya mapenzi..
Mwanamke kulewa mpaka mtu anakuvuwa nguo na kufanya atakavyo wewe huna habari sii hatari hiyo..... Haya sasa na Raj mpeleke home
Sijui umetoka wapi unakwenda wapi.... Khaa!!
Hapa Lazima next episode ....The light blogger tunasubili kwa raha zetu.... Wanasemaga Eti Wanawake Mwalimu wetu, Stevie Wonder.......
Zamaradi good tv presenter...yani uchoki kumsikiliza, watu na kazi zao...
AM

Anonymous said...

Yani nimecheka kweli jamani swali anaulizwa mtu mwingine mtazamaji ndio uone haya...
Hallooo Mungu ni mwema atulinde sisi wote.......
AM

Anonymous said...

Mmmh hawa mabint wa kisasa aliyewaloga kafa na kaburi lake limesombwa na mafuriko ya mto Ruvu. Yaani hawataki kujithamini basi hata kujitambua nako inakuwa ni shida??!!! Kupenda gani huku Yarabi, eeeh Mungu hebu wazindue mabint zetu khaaa. Siipendi hii kauli ya "mwanamke mwalimu wake kipofu" hakuna kitu kama hicho. Watu wanafanya ujinga ujinga halafu eti mapenzi upofu hivi huwa wanatobolewa macho au inakuwaje?? Maana kama unaona kabisa na macho yako mawili mtu anakudanganya badala ya kuchukua hatua unaendelea kuwa nae akishakutenda ndio unakimbilia kusema mapenzi upofu. Hebu tuache kusingizia vitu ambavyo haviwezi kusimama na kujitetea.